Kwamfano huyo niliemuongelea mimi ni kua namfahamu coz nimekua nae. Hiyo kukutana nae gafla kituoni sio rahisi kujua.
Mi naongela wale tunaowajua ama lah tulishawahi kuwaona huko nyuma wana miili midogo ila sasa hivi ni matukunyema.
Kuna watu wanazaliwa na mifupa minene kwa asili, wakiwa na kilo 6 kwenda mbele!! huyu ni mnene kwa asili!!!....but mazingira ya dhiki yaweza wa badirisha!! wakawa wembamba mno!
yamkini pia kuna wengine tangu kuzaliwa ni wakondefu tu kwa asili, kilo 2.5 kurudi chini! km... si unaona vitoto vya kagame!!! yaani vile vitoto ukikapuliza tu!! ni kuleee! km mdingi wao!!! siyo kwamba havili la hasha! ndo vilivyo!
ebu fikiria njiti!! vitoto vingine vinazaliwa vikiwa vigonjwa ila vinakulia sindano na madawa meengi!! hivi bana vina kuwaga na afya mgogoro hata ukape nini!! ukikalisha saaana utakaua katapata ugonjwa wa moyo au kafe kabisaa na Obesity!
vimili vyao haviwezi kubeba mzigo mkubwa! kwanza havili sana!!! body nutritious demand ni ndogo mno! vina kula kwa kudonoa donoa mno! huwa vinashangaa mabonge wanavo panga nguna? kanaweza kasinywe maji hata week! havitokagi jasho vile!!
Lkn mnene kwa asili hafi na Obesity kwa sababu mifupa yake ni minene kwa asili! na blood vessels zina weza ku-accomodate calibres! pia Meta bolic activies zake zina umudu huo mzigo!
Body mechanism demand Za watu wanene, ni kubwa mkuu kulingana naumri, mwembamba ukilazimisha kula km bonge lazima upate pressure soon uongo? au kisukari...
ni sawa na gari aina ya Vitz uipe mzigo wa Suzuki carry!! ...... au suzuki carry uipe mzigo wa gari kubwa Scania la mchanga kataondoka kweli? Marehemu Mkapa ule ni mwili wake! tangu, hata ale tikiti maji tu kwa siku!!
alipungua kidogo tu ajili ya ujana!! hapo kati! lkn hakuwa na pressure ajili ya ule mwili mkubwa!! Ariel sharon pia ivoivo!
Mzee wa Msoga kale ni ka mwili kake hata ale mbuzi mzima kila siku!! zaidi ataishia tu! kupata magonjwa! hujaona watu wakondefu jeshini wanashindwa kutembea kabisa kwenye uwanja wa mapambano km JKT??
lkn mabonge Yanapiga kwata la kufa mtu, yanavuka viunzi yale ni uta kaa chini mwenyewe!!! tena Yana mbio haYo heee! hapo sasa kumbuka ana Bunduki, sururu, ki-koleo, LMG full Magazine, Chakula na peki Mgongoni!! ila kula yake sasa ujipange!
Angalia hata kwenye kwata tu! palee JKT kambini ulipokuwa!! vimbau mbau ndo huanguka sana kunako kwata! vinapelekwa kivulini kupepewa lkn mibonge mweee!! yako fit karibu yote! yanaruka na siraha km zote!
Halafu ukisha yapaga msosi wa kutosha yanapiga kazi hayo weeee!! si unawaonaga kwa waleee!!! mafundi ujenzi wa Maghrofa yale yanapiga kazi usiku na mchana!