Kuna dada nampenda ila hatoi majibu ya kueleweka

Kuna dada nampenda ila hatoi majibu ya kueleweka

Kuna kadada furani kana soma Saut hapa mwanza nakapenda sana nanimeshawahi kukambia ila akatoi majibu zaid ya kukaa kimya basi.

Tumeishi maisha hayo ila kakikukumbuka kana kutexts mnasalimiana vizuri ila ukikakumbusha tu kana kaa kimya ata wiki ata mwez mzima Sasa jumapili kalinisalimia tukasalimia vizur tu kama kawaida yangu nikaka kumbusha Tena

Aiseee kananitesa sana nilipo kauliza vip sa jibu langu mamy kakasema we we subiri, nikasema nimekuwa wakusubir Muda usio julikana kakasema kwan ww unataka nini nikajibu nakupenda mbona unanifanyia ivo kakasema wewe unasemaje sasa nikaaka mbia njoo gethoo kakasema sitaki

Nikakauliza kwa nini utaki kakasema hadi nikape zawad nikakauliza zawad gani kakasema yoyote tu utakayo ipenda nikakauliza ndio utakuja kakasema ndio nikakauliza nikupe lini iyo zawadi kakasema ata Leo ukinitumia tu najiandaa kuja

SASA NAWAZA NIKAPE ZAWAD GANI?
Agrrrrrr....aiseh unajua kupenda pongezi nyingi ziende kwa huyo binti siku akikubali jua ana gono kua makin mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kakishakuingiza kwenye Kumi na nane zake Unakuja na Uzi mwingine Na Kanakuwa sio Kadada tena Unamwita Jimama!! Hapo ndio Utajua kile kichwa kingine nacho huwa kinafanya kazi.
 
Back
Top Bottom