Napenda siasa napenda democracy japo sidhani kama ni democracy.
Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa.
Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa Taifa na uchumi.
israel wapo vitani ila wana serikali imejengwa ktk misingi ya democracy ila ktk mfumo wa kiusalama Rais au waziri mkuu lazima apikwe haswa natamani moja ya mageneral ktk mifumo ya usalama angewekwa ktk kiti cha Taifa hili Taifa halihitaji Chama linahitaji mfumo imara wakijeshi wenye viashiria vya democracy nje ya hapo Taifa hili siku moja litakuwa manamba ktk nchi yetu wenye IQ kubwa wanaweza kunielewa
View: https://m.youtube.com/watch?v=WhYJ9vb1s1E
Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa.
Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa Taifa na uchumi.
israel wapo vitani ila wana serikali imejengwa ktk misingi ya democracy ila ktk mfumo wa kiusalama Rais au waziri mkuu lazima apikwe haswa natamani moja ya mageneral ktk mifumo ya usalama angewekwa ktk kiti cha Taifa hili Taifa halihitaji Chama linahitaji mfumo imara wakijeshi wenye viashiria vya democracy nje ya hapo Taifa hili siku moja litakuwa manamba ktk nchi yetu wenye IQ kubwa wanaweza kunielewa
View: https://m.youtube.com/watch?v=WhYJ9vb1s1E