Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Stock nyeupeeee. Mkuu wiki hii mzigo utakuwepoRafiki am missing you too!....Rafiki nahitaji pastegarlic please!
Na chura ya kupiga kakofi je?[emoji53][emoji53][emoji53]Stock nyeupeeee. Mkuu wiki hii mzigo utakuwepo
Huachiii...Na chura ya kupiga kakofi je?[emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23]Huachiii...
Ni dada wa kichaggaWewe ni mchaga?
Nasubiri povu lake. Unajua amekaa kimya sana
Hahahaha hayupoooNa chura ya kupiga kakofi je?[emoji53][emoji53][emoji53]
Haaa haaaa! Unatafuta dawa kijanja eeeh? Uko tayari kulea kansa?Hivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio? Au ni dhihaka tu kwa wadada?
Leo tumalize huu upuuzi, kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue.
Lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, ππ
Makalio makubwa kwa wanawake ni ya mafuta hasa yale ndembendebe na wachache misuli mikubwa,dawa za kuongeza misuli ni za kuchoma na hazichagui tako tu,rejea watunisha misuli,kwa upande wa makalio yenye mafuta/fat nyingi unaweza kuongeza kwa kuwekewa kipandikizi chenye umbo la namna unatata tako lionekane,hata mayiyi huongezwa kwa njia hiiHivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio? Au ni dhihaka tu kwa wadada?
Leo tumalize huu upuuzi, kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue.
Lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, ππ
Ubeche lini?
wachaga wakoje jamani?Wewe ni mchaga?