Kuna dawa kweli ya kuongeza makalio au ni dhihaka kwa wadada?

Unataka uongeze u mabanda ya uwani ?
 
Kunenepeshaje Miguu? Kwani haujasema chura?
Umetuona sisi ni punguani?
Tunayo ile yakukuza papa. Unaitaka?
 
Akuna Dawa ya kupaka ya kukuza makalio.ni usanii mtupu...Matiti,Makalio,hipps,n.k yanaongezwa kwa kujaza madawa,human fats(plastic surgery) India,Ulaya na Kwingineko..pamoja na South Africa
 
Nilikutana na dogo amemaliza form 4 kaletwa dar kusoma kakutana na marafiki chuo akapata dawa ya kunenepesha miguu kila cku ucku anajipaka akilala ckutaka kuingilia nikaubana
 
We uko nyuma ya dunia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
ingia fb andika Shape Shape utamuona mrembo wa umbo zuri gauni jekundu huyu anauza dawa kama hizo naonaga post zake tu sijawahi fatilia bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…