Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Can diabetes still be cured?
While diabetes is incurable, a person can stay in remission for a long time. No cure for diabetes currently exists, but the disease can go into remission. When diabetes goes into remission, it means that the body does not show any signs of diabetes, although the disease is technically still present.
Mkuu Hakuna dawa ya hospitali itakayoweza kukutibu maradhi yako ya kisukari. Huwezi kupona kw akutumia Dawa za Hospitali utatumia dawa za hospitali mpaka mwisho wa maisha yako na hutoweza kupona hayo maradhi ya kisukari . Unaweza kupona kwa kutumia Dawa za Asili.
Lete ushahidi wako usiseme ni uongo pasipo na ushahidi wako. Mimi Nimeleta ushahid wangu na wewe lete ushahidi wako wa kimaandishi hapa.Uongo
Ndugu yangu ni kweli hayoWacha kupotosha kama kitu hukijui kaa kimya, aliyekuambia dawa ya kisukari hamna ni nani? Labda hospitalini ndio hamna lkn dawa zipo za asili na zenye kuponya, hivyo muwache muhusika apambane kuitafuta mana hospitali washasema dawa ya kuponya kisukari hamna ila ipo ya kutuliza, ss muhusika dawa ya kutuliza kapewa na haitaki mana anataka kupona, ss wewe kwnn unamtisha mwenzio? Watu wamepona magonjwa makubwa na mazito kwa dawa za asili mimi shahidi unasema nini wewe.
MkuuPole, km hutojali, nione PM nikupatie namba ya mtaalamu wa magonjwa hayo akupatie Tiba. Yuko Mbeya kwa Sasa.