Kuna dawa ya kienyeji ya kutibu ugonjwa wa kisukari?


Uongo
 
Inawezekana lakn tatzo ni madhara kwenye ini na Figo mara kwa mara ndo yanayotesa baada ya muda mrefu wa kutumia dawa za kienyeji
 
dawa ya kisukari ni kufanya mazoezi,kuacha vitu vya sukari, na kula mbogamboga zenye protini na pia punguza ulaji wa chumvi,vyakula vya wanga kula kdg sana na mara moja moja.
 
Ndugu yangu ni kweli hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…