Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiacha hiyo midevu imee wallah anapata mume uarabuni faster.Dah! Pole sana. Naona midomo mizuri, huku kidevu kimechafuka kabisa.
nice lipsbaadhi ya sababu za kuota ndevu wanawake ni hormonimbalance kama wasemavyo watu wengi.
sasa nauliza tu eti mahospitalini kuna dawa yoyote ya kusawazisha hili tatizo la hormonimbalance, kiukweli ndevu imekuwa kerooo hata poda inagoma.View attachment 2125365
baadhi ya sababu za kuota ndevu wanawake ni hormonimbalance kama wasemavyo watu wengi.
sasa nauliza tu eti mahospitalini kuna dawa yoyote ya kusawazisha hili tatizo la hormonimbalance, kiukweli ndevu imekuwa kerooo hata poda inagoma.View attachment 2125365
Duh nimexeka sanaKuna maza mmoja juzi nilimwona kwenye kituo cha mwendokasi ana uchebe wa kutosha kama shekhe alafu macho mekunduu kama anakula wida nahisi amejikatia tamaa na tatizo hili ulilolielezea
Wenye kazi zenu mshaamka [emoji23]Kuna maza mmoja juzi nilimwona kwenye kituo cha mwendokasi ana uchebe wa kutosha kama shekhe alafu macho mekunduu kama anakula wida nahisi amejikatia tamaa na tatizo hili ulilolielezea
Bibie pole kwa kuota ndevu ukitumia dawa za hospitali za kurekebisha hormone imbalance zikishindwa kufanya kazi nitafute mimi kwa wakati wako nikutibie kwa dawa za asiliili upate kupona uguwa pole.baadhi ya sababu za kuota ndevu wanawake ni hormonimbalance kama wasemavyo watu wengi.
sasa nauliza tu eti mahospitalini kuna dawa yoyote ya kusawazisha hili tatizo la hormonimbalance, kiukweli ndevu imekuwa kerooo hata poda inagoma.View attachment 2125365