DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Suma jkt guard ni kampuni ya hovyo Sana...
haki za mfanyakazi hazifuatwi.
mshahara mdogo
Mazingira ya kazi magumu
Uongozi mbovu na supervisors wao hata common sense hawana..yaani the more kampuni inavyozidi kuwa kubwa ndo wafanyakazi wanavyozidi kuteseka.
Nilidhani kitengo kinachosimamiwa na jeshi kitakua vizuri kiutendaji lakini ni hovyo kabisa.

Uzi tayari
Na nyie wagambo wa Suma jkt mkishapewa yale makaniki meusi ndio mnakuwaga wanoko balaa,yaani mnajionaga kama makomandoo wa jw wakati mnaishi mais kama digidigi bora hata group 4,knight support ama ultimate security.
Ile kuwa Suma jkt basi mnajifananisha na jkt wenyewe waajiriwa wa serikali.

Mkiwekwa kwenye ulinzi wa mageti hospitali mnaanza kupigana na wanaokwenda kuangalia wagonjwa mawodini yaani mnakuwa na uchungu utafikiri hospitali za wajomba zeenu.

Bora hata mgambo wa Jiji anaweza kupata nyama na ubwabwa wa bure Kwa kufanya figisu Kwa mama ntilie kuliko nyie.
 
Na nyie wagambo wa Suma jkt mkishapewa yale makaniki meusi ndio mnakuwaga wanoko balaa,yaani mnajionaga kama makomandoo wa jw wakati mnaishi mais kama digidigi bora hata group 4,knight support ama ultimate security.
Ile kuwa Suma jkt basi mnajifananisha na jkt wenyewe waajiriwa wa serikali.

Mkiwekwa kwenye ulinzi wa mageti hospitali mnaanza kupigana na wanaokwenda kuangalia wagonjwa mawodini.

Wanatakiwa kulipwa hata 30000 tu
 
Hii suma iliyopo bandari ya tanga ifanyiwe uchunguzi imejaa utapel,dhuruma na utensaji wa ovyo usioeleweka kwa mfano wanachelewesha malipo wanalipa pesa siku watakayo wao alf pesa za PSSSF azipelekwi inavyotakiwa yan kwa kifupi hali ni mbaya sana kwa wafanyakazi wa kutwa wa bandari ya tanga.
 
Hii ni kazi unayotakiwa kuifanya kwa tahadhari na umakini mkubwa sana maana unaowafanyia kazi wanakuwinda yaan supervisors na mteja na wanakuona km kibaka kibaka fulani hivi ambae hujitambui na wanaishi na wewe kwa tahadhari kubwa sana maana wanakuona km mda wowote utawaibia
 

Aroo wewe kijana nitakuramba mitama.
 
Hii ni kazi unayotakiwa kuifanya kwa tahadhari na umakini mkubwa sana maana unaowafanyia kazi wanakuwinda yaan supervisors na mteja na wanakuona km kibaka kibaka fulani hivi ambae hujitambui na wanaishi na wewe kwa tahadhari kubwa sana maana wanakuona km mda wowote utawaibia
Itoshe kusema SUMAJKT ni kikundi tu sio kampuni..
 
Pole sana bro naona wamekudhulumu sana hadi umepata jazba kila siku unarudia kuandika kitu kile kile
Kilasiku dharau leo pia wamesema wanatoa pesa tumetoka makwetu kwenda kuchukua pesa zetu tangu mchana alf saa kumi ndo wanasema akuna pesa kumamaeee yan
 
Kilasiku dharau leo pia wamesema wanatoa pesa tumetoka makwetu kwenda kuchukua pesa zetu tangu mchana alf saa kumi ndo wanasema akuna pesa kumamaeee yan
Changamoto zikizidi ni bora kwenda kutafuta rizk sehem nyingine bro life ni tight kufanya kazi bila malipo siyo sawa
 
Changamoto zikizidi ni bora kwenda kutafuta rizk sehem nyingine bro life ni tight kufanya kazi bila malipo siyo sawa
Hicho ndo kilamtu anasema bora kuacha hii kazi maana akuna kazi ni wazimu
 
Kwani mkuu,unasemea Suma kitengo kipi mkuu.
Kwa maana,kama vile Suma Ina vitengo vingi Sana.
Tulionyeshwa siku ya miaka 60 ya JKT.
Naomba kuelewa.
 
Hii suma iliyopo bandari ya tanga ifanyiwe uchunguzi imejaa utapel,dhuruma na utensaji wa ovyo usioeleweka kwa mfano wanachelewesha malipo wanalipa pesa siku watakayo wao alf pesa za PSSSF azipelekwi inavyotakiwa yan kwa kifupi hali ni mbaya sana kwa wafanyakazi wa kutwa wa bandari ya tanga.
Poleni Wanasuma mnapitia mengi ila mnakosa watetezi maana hiyo ni sawa na taasisi ya kijeshi na inaendeshwa kijeshi.
 
Poleni Wanasuma mnapitia mengi ila mnakosa watetezi maana hiyo ni sawa na taasisi ya kijeshi na inaendeshwa kijeshi.
Sina uhakika kuna ujanja ujanja sana yan mambo hayaelewek kabisa yan atuelew kama kwel ni wanajeshi yan atuelew
 
Back
Top Bottom