Kuna elimu ktk mazingira haya???????????????/

Kuna elimu ktk mazingira haya???????????????/

Sinai

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
288
Reaction score
47
Jamani Watanzania wenzangu, kwa takribani wiki mbili sasa nipo kwenye data collection(field) ktk shule mbalimbali za msingi mkoani wa Dodoma! Kuna mambo yameniacha hoi, ktk shule 12 nilizotembelea kutoka kata mbalimbali, shule 2 zinajumla ya madawati 16 kila moja na wanafunzi zaidi 400 kwa kila shule.Shule zingine 6 kwa ujumla zinawastani wa madawati 32 kila moja na wanafunzi 470 kila moja, na zinazobzki zina tatizo pia la madawati!

Hoja hapa ni je, ktk mazingira haya ya wanafunzi 400 na madawati 12, wanafunzi wa shule za msingi wanapata elimu bora hapo? wenye nguvu ndio wanaokaa kwenye madawati na wale wanyonge hukaa kwenye vumbi kwani madarasa hayana sakafua kabisaa! Je Watanzania tutapata elimu bora hapo?
 
Kama ndo hivyo, basi tumekwisha watanzania. Endelea kutuhabarisha na tunakutakia kazi njema Mkuu..........
 
Halafu dodoma si ndo jk alishinda kwa kishindo wacha wakome! Wanalizika na udom tuu!
 
sasa mkubwa wewe unasema dodoma, hujaona hata shule za dsm wanafunzi wanakaa sakafuni tena kwenye vumbi kwa ukosefu wa madawati?
zilishawekwa hapa jamvini muda mrefu uliopita. hiyo ni dar sembuse dom!
 
Ujue viongozi wa serikali hasa wahusika hawajali elimu ya Tz na ndio maana watoto wao wanawapeleka International school.Dawa ya hii ni mapinduzi hasa
Sio hapo tu shule za sekondari matokeo mabovu,viongozi wana kazi ya kujenga majengo walimu na vitendea kazi hakuna.Kifupi elimu ya Tz inaharibiwa na siasa.
 
Wadau kweli inatia huruma kama ndo hivo hamna haja ya kujenga vibanda vya kuku na kuviita madarasa. Hiv kweli serikari ipo hau? Imeniuma sana lakini i blieve iki chama kinacho kumbatia udharimu hiposik kitakuwa kama misri. Remember what comes around goes around.nakutakia kazi njema kaka ktk tfti yako hapa dom wenda ukawa mkombozi wa wanyonge hao hapo badae.
 
Back
Top Bottom