Katika Biashara kuna faida serikali ikamiliki hisa 100% au Serikali iuze shares at least by 20%?
Serikali ibaki na 80% na public (watanzania) wanunue 20%
Mimi naona wananchi wakinunua share, itaongeza hata wateja zaidi maana mtu atapenda kununua ticket kwenye shirika lake
Serikali ibaki na 80% na public (watanzania) wanunue 20%
Mimi naona wananchi wakinunua share, itaongeza hata wateja zaidi maana mtu atapenda kununua ticket kwenye shirika lake