Kuna faida gani kusafiri daraja la kwanza au VIP kwenye ndege?

Kuna faida gani kusafiri daraja la kwanza au VIP kwenye ndege?

Usipate tabu.
Nenda Mbagala ukalale gesti chumba self Bei Ni elfu tano. Halafu uje Kimara ulale gesti chumba elfu arobaini.
Au chukua Dem wa buku tatu na wa laki. K Ni Ile Ile Ila....
 
Wakuu salama?

Naombeni mnitoe "matongotongo"

Abiria wa daraja la kwanza au VIP kwenye ndege anatofautianaje na wa madaraja ya kawaida?

Nawasilisha🙏
Hata mimi ningependa kujua kama mazingira yanaruhusu watu kunjunjana ndege ikiwa angani aidha na abiria mwenzako, wahudumu wa ndege au mwenza kama mmesafiri wote?
NB:
Sijawahi kupanda ndege
 
Kutokea nchi gani mkuu?

Kwa daraja la VIP ni sh ngapi?

Ila hela ni nzuri nyie😄
Kutoka 🇬🇧
VIP sidhani kama kuna daraja kwenye ndege za kawaida bali kuna VIP lounges ambapo kuna baadhi ya visa card zinakupa access kupewa treatment kwenye baadhi ya airport au kama una Business class au first class

Mkuu kwa VIP ni private jets tu hao ndio ma tycoon wasiotaka karaha na kutumbua hela ipasavyo
 
Tofauti ni kuwa nafasi ya kutosha kwa kiti na zaidi sana watu wachache wanaohudumiwa kwanza, bidhaa zenye wiwango vya juu kulinga na pesa uliyolipa.
Sio Kwa Air Tanzania now nasafirigi changanyikeni hayo mambo Emirate.
 
Back
Top Bottom