Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
Naomba kuuliza humu wanaJF mnsaidie.
Mimi ni kijana wa kiume 26yrs .Nimemaliza form six mwaka jana na mzee kaamua kutoniendeleza chuo ili tu nikafanye kazi kwenye miradi zake na ukiangalia katika familia tupo watoto 12.
Pia mzee ana mali nyingi tu.< ng'ombe 200, Na mradi wa mashine ya kukoboa mpunga, mashamba ya mpunga hekari 500 Na viwanja mbalimbali kama 12.
Binafsi mimi nilikuwa nimeamua kutoroka ili na mimi nikajaribu ku hustle lakini mzee kanirudisha.
JE KUNA FAIDA GANI AU NAWEZAJE KUJIWEKEZA NA MIMI ILI NIWE NA VYANGU?
Mzee wangu pia anabana sana kuwa na pesa mpaka akupe au umuombe
Mimi ni kijana wa kiume 26yrs .Nimemaliza form six mwaka jana na mzee kaamua kutoniendeleza chuo ili tu nikafanye kazi kwenye miradi zake na ukiangalia katika familia tupo watoto 12.
Pia mzee ana mali nyingi tu.< ng'ombe 200, Na mradi wa mashine ya kukoboa mpunga, mashamba ya mpunga hekari 500 Na viwanja mbalimbali kama 12.
Binafsi mimi nilikuwa nimeamua kutoroka ili na mimi nikajaribu ku hustle lakini mzee kanirudisha.
JE KUNA FAIDA GANI AU NAWEZAJE KUJIWEKEZA NA MIMI ILI NIWE NA VYANGU?
Mzee wangu pia anabana sana kuwa na pesa mpaka akupe au umuombe