kwa ufahamu wng
Kuna Aina 2 za bima, Bima kubwa na Bima ndogo.
Bima kubwa hii faida yake ni pale unapokutwa na majanga mfano umeibiwa chombo,ajali ambayo imeathiri chombo hii Inacover dereva,abiria na chombo ya kwamba chombo utalipwa kulingana na ulivyokithaminisha wakati wa kukata bima na Dereva pamoja na Abiria mtalipwa au mtahudumiwa km mkiwa mumeathirika na ajali.
Bima Ndogo hauna unachoambulia zaudi kuepuka usumbufu wa Traffic barabarani maana Kusheria bima sio lazima ila inalazimishwa ili serikali ipate mapato.
AKILI KUMKICHWA.