Kuna faida gani za kuwa na BIMA(insurance) ya pikipiki?

The Hidden

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
246
Reaction score
102
Kuna ulazima wa kuweka bima kwa pikipiki inaponunuliwa? na ni faida gani naweza pata kwa hii bima pia gharama yake ni sh. ngapi?
 
Naombeni mwenye uelewa juu ya hili anisaidie
 
kwa ufahamu wng
Kuna Aina 2 za bima, Bima kubwa na Bima ndogo.

Bima kubwa hii faida yake ni pale unapokutwa na majanga mfano umeibiwa chombo,ajali ambayo imeathiri chombo hii Inacover dereva,abiria na chombo ya kwamba chombo utalipwa kulingana na ulivyokithaminisha wakati wa kukata bima na Dereva pamoja na Abiria mtalipwa au mtahudumiwa km mkiwa mumeathirika na ajali.

Bima Ndogo hauna unachoambulia zaudi kuepuka usumbufu wa Traffic barabarani maana Kusheria bima sio lazima ila inalazimishwa ili serikali ipate mapato.

AKILI KUMKICHWA.
 
Ahsante sana brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…