Kuna faida kwa nchi au wanasayansi kupeleka chombo mwezini....

Kuna faida kwa nchi au wanasayansi kupeleka chombo mwezini....

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
 
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
Ngoja waje
 
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
Faida zipo ila ni za siku za usoni si leo
 
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
Sasa kama hao wahindu si wangepambana na umaskini wa raia wao waache kukimbilia magharibi, mi sioni kama kuna la faida hapo, tofauti na kutafuta mi sifa tu, kila video ya hiyo habari youtube, utakuta mi hindi
Pround Indian🇮🇳🇮🇳🇮🇳
kuna moja nimeliuliza, wewe kama wewe hiyo safari imekusaidia nini, kimya.
 
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
Kuna Nchi tajiri na zina surplus kwenye budget zao wanaweza fanya luxury kama hizi.

Ila India Nchi ambayo wananchi bado wanajisaidia mitaani ni upuuzi tu.

Huwa nawakubali sana Japan, hawa jamaa wapo efficient kupita maelezo hutawasikia ujinga ujinga sijui kupeleka Chombo mwezini na mauzo mengine, ila kukitokea opportunity ya kumfaidisha mwanadamu basi wanaonesha technology zao.

HAYABUSA ndio Chombo cha kwanza Duniani ku intercept kimondo na kuvuna mchanga kuurudisha duniani usomwe components zake. Unaona kabisa umuhimu wa hii mission, ila India wao ni kuiga tu waonekane Kama Marekani.

Hamna tofauti na Masikini aneiga pamba za Tajiri hali ya kuwa nyumbani kwake Hajaacha hela ya kula.
 
Kuna Nchi tajiri na zina surplus kwenye budget zao wanaweza fanya luxury kama hizi.

Ila India Nchi ambayo wananchi bado wanajisaidia mitaani ni upuuzi tu.

Huwa nawakubali sana Japan, hawa jamaa wapo efficient kupita maelezo hutawasikia ujinga ujinga sijui kupeleka Chombo mwezini na mauzo mengine, ila kukitokea opportunity ya kumfaidisha mwanadamu basi wanaonesha technology zao.

HAYABUSA ndio Chombo cha kwanza Duniani ku intercept kimondo na kuvuna mchanga kuurudisha duniani usomwe components zake. Unaona kabisa umuhimu wa hii mission, ila India wao ni kuiga tu waonekane Kama Marekani.

Hamna tofauti na Masikini aneiga pamba za Tajiri hali ya kuwa nyumbani kwake Hajaacha hela ya kula.
Na hiki ndicho nilikuwa natafakari hapa.


Watu walishaenda huko na wakaona kilichopo ni nini?

Sasa nikawa najiuliza bado hawa wengine wanaenda ili kugundua nini?
 
Rejea enzi za kale. Wakati kina Christopher Colombus wanatumwa kuvumbua "dunia mpya", kwanza hawakujua kama watanufaika vipi na safari hizo za uvumbuzi. Miaka kadhaa baadae dunia mpya ikawa uti wa mgongo wa chumi za nchi zilizofadhili safari hizo.
Vivyo hivyo safari za vumbuzi za anga za juu zilianza kama safari za uvumbuzi tu. Miaka kadhaa baadae zimekuja kuwa na manufaa ya kiteknolojia, zenye matumizi halisi huku duniani. Safari za mars na mwezini ni mwendelezo wa jitihada hizo ambapo manufaa-tumizi yake kiteknolojia ama kiuchumi yatabainika miongo mingi ijayo tokana na tafiti wanazofanya maeneo hayo. Kumbuka wanapofika huchukua sample za vitu mbalimbali kama mawe, udongo nk na kuja kuzifanyia tafiti pana huku duniani
 
Maendeleo yoyote unayoyaona hapa duniani, ni matokeo ya tafiti zilizofanyika kabla. Wapo waliomuona Nikola Tesla ni mwehu wakati anafanya tafiti zake. Lakini leo tunasikiliza redio, tunaangalia TV na kupiga simu kwa sababu ya tafiti hizo alizozifanya.

Na hii ndio tofauti kubwa kati ya Waafrica na Wazungu. Waafrica tunawaza kuhusu leo pekee, wakati wenzetu wanawaza mpaka miaka mia moja ijayo.

Ni tafiti kama hizi ndizo ziliwawezesha waingereza kutoka London mpaka kuja kubeba dhahabu huku Africa ndanindani kwa wasukuma [emoji28][emoji28][emoji28].

Tafiti za mwezini na sayari nyingine, zinaweza zisiwe na manufaa leo. Lakini zikaja kuleta matunda miaka ishirini ijayo. So relax, hawatumii hela zetu!

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Rejea enzi za kale. Wakati kina Christopher Colombus wanatumwa kuvumbua "dunia mpya", kwanza hawakujua kama watanufaika vipi na safari hizo za uvumbuzi. Miaka kadhaa baadae dunia mpya ikawa uti wa mgongo wa chumi za nchi zilizofadhili safari hizo.
Vivyo hivyo safari za vumbuzi za anga za juu zilianza kama safari za uvumbuzi tu. Miaka kadhaa baadae zimekuja kuwa na manufaa ya kiteknolojia, zenye matumizi halisi huku duniani. Safari za mars na mwezini ni mwendelezo wa jitihada hizo ambapo manufaa-tumizi yake kiteknolojia ama kiuchumi yatabainika miongo mingi ijayo tokana na tafiti wanazofanya maeneo hayo. Kumbuka wanapofika huchukua sample za vitu mbalimbali kama mawe, udongo nk na kuja kuzifanyia tafiti pana huku duniani

Nakupa heko, nadhani huyu aliyeuliza anadhani hata simu hii anayotumia kurusha ujumbe iliibuka tu! Watu waliifanyia utafiti wa kuiunda pengine karne hata ya 19 ndipo wewe unafaidi matunda yake sasa!
 
Maendeleo yoyote unayoyaona hapa duniani, ni matokeo ya tafiti zilizofanyika kabla. Wapo waliomuona Nikola Tesla ni mwehu wakati anafanya tafiti zake. Lakini leo tunasikiliza redio, tunaangalia TV na kupiga simu kwa sababu ya tafiti hizo alizozifanya.

Na hii ndio tofauti kubwa kati ya Waafrica na Wazungu. Waafrica tunawaza kuhusu leo pekee, wakati wenzetu wanawaza mpaka miaka mia moja ijayo.

Ni tafiti kama hizi ndizo ziliwawezesha waingereza kutoka London mpaka kuja kubeba dhahabu huki Africa ndanindani kwa wasukuma [emoji28][emoji28][emoji28].

Tafiti za mwezini na sayari nyingine, zinaweza zisiwe na manufaa leo. Lakini zikaja kuleta matunda miaka ishirini ijayo. So relax, hawatumii hela zetu!

[emoji28][emoji28][emoji28]
naam umejibu vyema sana. Serikali za wenzetu zipo serious sana kwenye kuwekeza kwenye tafiti na elimu kwa ustawi wa nchi na raia wake.
 
Nakupa heko, nadhani huyu aliyeuliza anadhani hata simu hii anayotumia kurusha ujumbe iliibuka tu! Watu waliifanyia utafiti wa kuiunda pengine karne hata ya 19 ndipo wewe unafaidi matunda yake sasa!
Sikuuliza kwa chuki...

🙌😂😂

Nilitaka kupata elimu kama hii.
 
Hello guys;

Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu...

Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa na USA na USSR 1966 na China 2013

Sasa nikajiuliza kichwani lengo linakuwa ni nini? Kufanya utafiti au kuna manufaa gani kiuchumi na kijamii. Kwenda huko mwezini? Ukizingatia gharama huwa ni kubwa zinazotumika pia. Yaani huwa ni uwekezaji wa muda mrefu.

Natanguliza shukrani...
[/QUO
Na hiki ndicho nilikuwa natafakari hapa.


Watu walishaenda huko na wakaona kilichopo ni nini?

Sasa nikawa najiuliza bado hawa wengine wanaenda ili kugundua nini?
Kuna maeneo ambayo Bado hayakufikiwa,mfano Marekani,Urusi na China wamewahi kufika mwezini kwenye eneo linalofananishwa na equator kwa hapa duniani,lakini India wamefanikiwa kutua chombo chao kwenye polar yaani kwa hapa kwenye sayari yetu ni Kule antarctic. ni eneo ambalo halijawahi fikiwa hapo awali.
 
Back
Top Bottom