Kuna faida kwa nchi au wanasayansi kupeleka chombo mwezini....

Kuna faida kwa nchi au wanasayansi kupeleka chombo mwezini....

Faida zipo nyingi sana ikiwemo utalii, tafiti za uwezekano wa maisha nje ya orbit ya dunia. N.K
Faida nyingine kubwa ni pale wanapoamua zile teknolojia zilizopo kwenye hiyo space industry,kuzileta uraiani,mfano life supporting machine n.k
 
Maendeleo yoyote unayoyaona hapa duniani, ni matokeo ya tafiti zilizofanyika kabla. Wapo waliomuona Nikola Tesla ni mwehu wakati anafanya tafiti zake. Lakini leo tunasikiliza redio, tunaangalia TV na kupiga simu kwa sababu ya tafiti hizo alizozifanya.

Na hii ndio tofauti kubwa kati ya Waafrica na Wazungu. Waafrica tunawaza kuhusu leo pekee, wakati wenzetu wanawaza mpaka miaka mia moja ijayo.

Ni tafiti kama hizi ndizo ziliwawezesha waingereza kutoka London mpaka kuja kubeba dhahabu huku Africa ndanindani kwa wasukuma [emoji28][emoji28][emoji28].

Tafiti za mwezini na sayari nyingine, zinaweza zisiwe na manufaa leo. Lakini zikaja kuleta matunda miaka ishirini ijayo. So relax, hawatumii hela zetu!

[emoji28][emoji28][emoji28]
Wanawaza kula na kunya.
Wanadhani huko marekani hakuna masikini lakini mabilioni ya hela yanatumika kudhamini tafiti.
Kuna teknolojia mkishazijua hko umasikini mnauaga sekunde.
Bahati mbaya sana Technological gape likiwa kubwa kuja ku catch up inakuwa ndoto za mchana.
Imagine mpaka leo waafrika hatuna uwezo wa kuunda affordable engine, affordable ekectroni IC chip nk .
Ukiweza kuunda engine unaunda kifaa chochote unachotaka, gari boti,ndege nk
Ukiweza kuunda Chip unaweza unda vifaa vyovyote vya ki electronics na nduguze.
Tumekaa hapa tunajidanganya eti tujenge kwanza vyoo.
Bull shitii!!
 
Back
Top Bottom