Kuna 'Foreigner' Mmoja kaniuliza hili Swali, ila nimeshindwa Kumjibu lakini najua nyie 'Great Thinkers' mtamjibu vyema ili 'nimtafsirie' hapa tulipo

Kuna 'Foreigner' Mmoja kaniuliza hili Swali, ila nimeshindwa Kumjibu lakini najua nyie 'Great Thinkers' mtamjibu vyema ili 'nimtafsirie' hapa tulipo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE hivi ni kwanini Siku hizi hapa Kwenu nchini Tanzania kila kukiwa tu na Shughuli ya Kitaifa Uhuru au Muungano au Mapinduzi mnapenda mno Kuwaonyesha Makomandoo wenu wakifanya Mambo ya Kimedani?

Hii ina faida gani hasa kwa Watanzania wengi wasio na uhakika wa hata Maisha yao na wengine Wanataabika tu? Na mbona wakati wa Awamu za Kwanza ya Nyerere, ya Pili ya Mwinyi na ya Tatu ya Mkapa hatukuona hivi
?

Lakini ni kwanini tumeanza kuyaona yakizuka katika Awamu ya Nne ya Kikwete, Awamu ya Tano ya Magufuli na inayosemekana Awamu ya Sita ( wakati bado ni ya Tano ) ya Rais Samia?

au labda kuna nchi mnaviziana nazo Kivita hivyo kwa Kupenda Kwenu kila mara Kuwaonyesha hawa Makomandoo huenda mnawatumia Ujumbe indirectly ili labda Wawaogope
?

Na je, kana mnawaonyeshea hawa Makomandoo wenu kila mara ili kuwatishia / kuwatisha mna uhakika kuwa Wao hawana Makomandoo imara pengine maradufu ya hawa Wenu ila wameamua tu Kunyamaza na huenda Wanawasanifu na Kuwadharau au hata Kuwaona ni Washamba
?

Tafadhali nijibuni upesi ili nami nimtafsirie hapa kwani ana Shauku ya kupata Majawabu na Mimi GENTAMYCINE nimemwambia siyo Great Thinker kama Yeye bali ni 'Popoma' tu niliyetukuka, hivyo kwakuwa nyie JF Members wote hapa ni 'Great and Critical Thinkers' naamini mtaserereka na kutiririka na Madini yenu ili nimfahamishe nae.
 
GENTAMYCINE hivi ni kwanini Siku hizi hapa Kwenu nchini Tanzania kila kukiwa tu na Shughuli ya Kitaifa Uhuru au Muungano au Mapinduzi mnapenda mno Kuwaonyesha Makomandoo wenu wakifanya Mambo ya Kimedani?

Hii ina faida gani hasa kwa Watanzania wengi wasio na uhakika wa hata Maisha yao na wengine Wanataabika tu? Na mbona wakati wa Awamu za Kwanza ya Nyerere, ya Pili ya Mwinyi na ya Tatu ya Mkapa hatukuona hivi?

Lakini ni kwanini tumeanza kuyaona yakizuka katika Awamu ya Nne ya Kikwete, Awamu ya Tano ya Magufuli na inayosemekana Awamu ya Sita ( wakati bado ni ya Tano ) ya Rais Samia?

au labda kuna nchi mnaviziana nazo Kivita hivyo kwa Kupenda Kwenu kila mara Kuwaonyesha hawa Makomandoo huenda mnawatumia Ujumbe indirectly ili labda Wawaogope
?

Na je, kana mnawaonyeshea hawa Makomandoo wenu kila mara ili kuwatishia / kuwatisha mna uhakika kuwa Wao hawana Makomandoo imara pengine maradufu ya hawa Wenu ila wameamua tu Kunyamaza na huenda Wanawasanifu na Kuwadharau au hata Kuwaona ni Washamba?

Tafadhali nijibuni upesi ili nami nimtafsirie hapa kwani ana Shauku ya kupata Majawabu na Mimi GENTAMYCINE nimemwambia siyo Great Thinker kama Yeye bali ni 'Popoma' tu niliyetukuka, hivyo kwakuwa nyie JF Members wote hapa ni 'Great and Critical Thinkers' naamini mtaserereka na kutiririka na Madini yenu ili nimfahamishe nae.
Ni ushamba wa viongozi wasio na busara
 
Sikukuu ya Uhuru na Mapinduzi ni maonyesho ya silaha zetu za kivita km ilivyo sabasaba na nanenane (biashara na kilimo ) sespectively
 
sijui kwanini huwa nikisoma uzi zako nakuwa kama naongea sio kimoyomoyo...
sijui ni mimi tuu au na wengine hivyohivyo.
yani km nasoma kwa sauti ya kibabe flan hivi
 
Mambo hubadilika,yeye alitaka sherehe ziendelee vile vile tu kama zilivyokua enzi za Nyerere?
 
GENTAMYCINE hivi ni kwanini Siku hizi hapa Kwenu nchini Tanzania kila kukiwa tu na Shughuli ya Kitaifa Uhuru au Muungano au Mapinduzi mnapenda mno Kuwaonyesha Makomandoo wenu wakifanya Mambo ya Kimedani?

Hii ina faida gani hasa kwa Watanzania wengi wasio na uhakika wa hata Maisha yao na wengine Wanataabika tu? Na mbona wakati wa Awamu za Kwanza ya Nyerere, ya Pili ya Mwinyi na ya Tatu ya Mkapa hatukuona hivi
?

Lakini ni kwanini tumeanza kuyaona yakizuka katika Awamu ya Nne ya Kikwete, Awamu ya Tano ya Magufuli na inayosemekana Awamu ya Sita ( wakati bado ni ya Tano ) ya Rais Samia?

au labda kuna nchi mnaviziana nazo Kivita hivyo kwa Kupenda Kwenu kila mara Kuwaonyesha hawa Makomandoo huenda mnawatumia Ujumbe indirectly ili labda Wawaogope
?

Na je, kana mnawaonyeshea hawa Makomandoo wenu kila mara ili kuwatishia / kuwatisha mna uhakika kuwa Wao hawana Makomandoo imara pengine maradufu ya hawa Wenu ila wameamua tu Kunyamaza na huenda Wanawasanifu na Kuwadharau au hata Kuwaona ni Washamba
?

Tafadhali nijibuni upesi ili nami nimtafsirie hapa kwani ana Shauku ya kupata Majawabu na Mimi GENTAMYCINE nimemwambia siyo Great Thinker kama Yeye bali ni 'Popoma' tu niliyetukuka, hivyo kwakuwa nyie JF Members wote hapa ni 'Great and Critical Thinkers' naamini mtaserereka na kutiririka na Madini yenu ili nimfahamishe nae.
Mwambie aache udaku!!

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tunapenda Sana kuiga Mambo ya mataifa mengine.

Mfano,
-- kujenga police post.
--Kuonyesha silaha za kijeshi na mambo ya kijeshi wakati wa sherehe za Uhuru.

Hayo mambo yote mawili tumeiga kutoka kwa India na Pakistan..

Haya mataifa yana utamaduni wa kuonyesha silaha na mambo ya kijeshi wakati wa sherehe za Uhuru kama njia ya kutishana kivita,,sababu ya uadui wao.

Na sisi tumeyabeba tumefanya ndy utamaduni..
 
Ni kwa sababu wameenda kozi ngumu, ila hawapati chochote katika sherehe, wanaokwenda gwaride na kikundi cha Orchestra wanalipwa.

Sasa wameshirikishwa kwenye sherehe wapate ka- "Per Diem" kama njia ya kuwatia moyo, isije ikajengeka dhana kwamba bora kuwa kwenye bendi unakula hela za sherehe kuliko ukomandoo.

Mawazo ya binafsi ya kitaa!!!
 
Back
Top Bottom