Kuna gari V8 nyeusi imepaki hapa Kijiweni kwetu kitambo kidogo, hatujui nani mmiliki na kwanini ipo hapa!

Kuna gari V8 nyeusi imepaki hapa Kijiweni kwetu kitambo kidogo, hatujui nani mmiliki na kwanini ipo hapa!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Mrejesho: saa 11:08

Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo

Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu


Wadau hamjamboni nyote?

Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa

Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea

Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai

Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu

Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu

Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa


Jioni njema
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa

Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea

Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai

Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu



Jioni njema
Shukrani kwa taarifa,ila kwanini unaogopa sana?Ni kwakuwa ipo jirani na makazi yako?Ama kwakuwa hufahamu mmiliki wake?Au unamishezako unazohofia kufuatiliwa?
 
nakumbuka zamani ilikuwa tukiona gari jekundu limepita shuleni, ilikuwa ni mbio nyumbani, tulikuwa tunasema wanyonya damu. sijui zile stori zilianzia wapi. too bad hadi wakubwa zetu walikuwa wanaamini wanyonya damu
Hapo ndio pale unasikia ushamba,mzigo.
 
Ukipigiwa simu usiishike ambayo ndio Signal kuwa ni wewe.

Kauka wacha iite mpaka ikate kisha kula kona halafu toka Baruti ukiona simu inaendelea kukupigia na wewe machale yanakucheza iuze nunua nyingine na line nyingine

Kumbuka it's a matter of life and death, kwasasa hivi hata kama una Mke mrembo au una ugomvi na Polisi jamii unaweza kupotezwa; na ikadaiwa kuwa wewe ni MwanaCHADEMA umemtukana Mama.
 
Atakua mshkaji wako yule wa kwa mzungu aliekutosa kakukumbuka

Kwan haina plate namba au ni STL?
 
Back
Top Bottom