Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka Picha ni muhimu Sanaa otherwise ni uchochezi 😇Mrejesho: saa 11:08
Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi
Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa
Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea
Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai
Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu
Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu
Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa
Jioni njema
Sa si uchungulie......Mrejesho: saa 11:08
Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo
Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa
Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea
Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai
Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu
Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu
Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa
Jioni njema
Afadhali kama wameondoka kwa wema.Maana mngetueleza tu kama mmegawiwa pipi,kungezuka bonge la vagi aka varangati aka kurupushani.Muwe na amani,Aaamiini!🙏Mrejesho: saa 11:08
Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo
Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa
Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea
Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai
Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu
Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu
Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa
Jioni njema
Haya yana laana aseeHaya hapa maelekezo kutoka watekaji wenye uniform (POLICCM)
View attachment 3082864
Ukiiuza ndio unakamatwa chapUkipigiwa simu usiishike ambayo ndio Signal kuwa ni wewe.
Kauka wacha iite mpaka ikate kisha kula kona halafu toka Baruti ukiona simu inaendelea kukupigia na wewe machale yanakucheza iuze nunua nyingine na line nyingine
Kumbuka it's a matter of life and death, kwasasa hivi hata kama una Mke mrembo au una ugomvi na Polisi jamii unaweza kupotezwa; na ikadaiwa kuwa wewe ni MwanaCHADEMA umemtukana Mama.
Ipigeni kiberiti.Mrejesho: saa 11:08
Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo
Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa
Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea
Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai
Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu
Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu
Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa
Jioni njema
Duu unanikumbusha nini maana ya sheria mkononiHaya hapa maelekezo kutoka watekaji wenye uniform (POLICCM)
View attachment 3082864
Sisi wenye ma V8 tutaanza kutembea kwa miguuIipueni kwa bomu la petroli
We mdanganye tumpige chuma🤓
Unenda kuiuzia Mt Kongo.Ukiiuza ndio unakamatwa chap
Oho kumbe ni wana CCM?Mrejesho: saa 11:08
Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo
Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa
Ila kuna gari hapa V8 nyeusi imepaki Kijiweni kwetu muda mrefu kidogo na hatuoni mtu akiingia au akitokea
Hatujui gari mmiliki ni nani na inafanya nini maeneo yetu haya ya kujidai
Nikasema basi niwape hiyo taarifa Ndugu zangu
Hata hivyo amani imetawala kabisa na watu wanaendelea na ratiba zao za kawaida bila hofu
Wengi wetu hapa Kijiweni ni Wana CCM na nikiwatazama wote wana amani na furaha kabisa
Jioni njema