"Kuna gharama kubwa ya kujifanya shujaa"

"Kuna gharama kubwa ya kujifanya shujaa"

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
"Kuna gharama kubwa ya kuwa shujaa"

Kesi ya Mbowe ilipoanza tulisikia watu mbalimbali wakihudhuria mahakamani na wengine kushinikiza aachiwe, tulishuhudia mabalozi kutoka nchi za Marekani, Ujerumani na Ubelgiji wakihudhuria na kutoa matamko mbalimbali lakini Leo yupo pekee yake na makosa yake nyuma ya nondo.

Kwa huruma na kutambua makosa aliyonayo Mbowe dhidi ya jamhuri yake, Zitto akaja na mpango madhubuti wa kumnusuru kaka na kiongozi wake wa zamani kwa kumuombea msamaha lakini ili kuonekana shujaa anagomea huo msamaha.

Dunia imebadilika na Mbowe asitegemee anaweza kutoka mahabusu au mahakamani kwa watu kujitoa kwa ajili yake. Zile nyakati za kumpigania MTU kwa maandamano zimepitwa na wakati.

Kwangu Mimi ,Zitto ni shujaa aliyezielewa siasa za kisasa na anafanya siasa zenye mahitaji ya kisasa ila kwa CHADEMA na Mbowe watagharamika kutoka kuonekana mashujaa kwa kutumia mbinu za kizamani
 
"Kuna gharama kubwa ya kuwa shujaa"

Kesi ya Mbowe ilipoanza tulisikia watu mbalimbali wakihudhuria mahakamani na wengine kushinikiza aachiwe, tulishuhudia mabalozi kutoka nchi za Marekani, Ujerumani na Ubelgiji wakihudhuria na kutoa matamko mbalimbali lakini Leo yupo pekee yake na makosa yake nyuma ya nondo.

Kwa huruma na kutambua makosa aliyonayo Mbowe dhidi ya jamhuri yake, Zitto akaja na mpango madhubuti wa kumnusuru kaka na kiongozi wake wa zamani kwa kumuombea msamaha lakini ili kuonekana shujaa anagomea huo msamaha.

Dunia imebadilika na Mbowe asitegemee anaweza kutoka mahabusu au mahakamani kwa watu kujitoa kwa ajili yake. Zile nyakati za kumpigania MTU kwa maandamano zimepitwa na wakati.

Kwangu Mimi ,Zitto ni shujaa aliyezielewa siasa za kisasa na anafanya siasa zenye mahitaji ya kisasa ila kwa CHADEMA na Mbowe watagharamika kutoka kuonekana mashujaa kwa kutumia mbinu za kizamani
Utaoga matusi hapa muda si mrefu, ngoja hawa jamaa waje
 
"Kuna gharama kubwa ya kuwa shujaa"

Kesi ya Mbowe ilipoanza tulisikia watu mbalimbali wakihudhuria mahakamani na wengine kushinikiza aachiwe, tulishuhudia mabalozi kutoka nchi za Marekani, Ujerumani na Ubelgiji wakihudhuria na kutoa matamko mbalimbali lakini Leo yupo pekee yake na makosa yake nyuma ya nondo.

Kwa huruma na kutambua makosa aliyonayo Mbowe dhidi ya jamhuri yake, Zitto akaja na mpango madhubuti wa kumnusuru kaka na kiongozi wake wa zamani kwa kumuombea msamaha lakini ili kuonekana shujaa anagomea huo msamaha.

Dunia imebadilika na Mbowe asitegemee anaweza kutoka mahabusu au mahakamani kwa watu kujitoa kwa ajili yake. Zile nyakati za kumpigania MTU kwa maandamano zimepitwa na wakati.

Kwangu Mimi ,Zitto ni shujaa aliyezielewa siasa za kisasa na anafanya siasa zenye mahitaji ya kisasa ila kwa CHADEMA na Mbowe watagharamika kutoka kuonekana mashujaa kwa kutumia mbinu za kizamani
Rubbish, nonsense, tikiti kabsa, bc akitia huruma wewe inakuuma nini
 
Leo yupo pekee yake
giphy (4).gif
 
"Kuna gharama kubwa ya kuwa shujaa"

Kesi ya Mbowe ilipoanza tulisikia watu mbalimbali wakihudhuria mahakamani na wengine kushinikiza aachiwe, tulishuhudia mabalozi kutoka nchi za Marekani, Ujerumani na Ubelgiji wakihudhuria na kutoa matamko mbalimbali lakini Leo yupo pekee yake na makosa yake nyuma ya nondo.

Kwa huruma na kutambua makosa aliyonayo Mbowe dhidi ya jamhuri yake, Zitto akaja na mpango madhubuti wa kumnusuru kaka na kiongozi wake wa zamani kwa kumuombea msamaha lakini ili kuonekana shujaa anagomea huo msamaha.

Dunia imebadilika na Mbowe asitegemee anaweza kutoka mahabusu au mahakamani kwa watu kujitoa kwa ajili yake. Zile nyakati za kumpigania MTU kwa maandamano zimepitwa na wakati.

Kwangu Mimi ,Zitto ni shujaa aliyezielewa siasa za kisasa na anafanya siasa zenye mahitaji ya kisasa ila kwa CHADEMA na Mbowe watagharamika kutoka kuonekana mashujaa kwa kutumia mbinu za kizamani
Kama wewe unamuona Zitto kuwa shujaa wako basi mfuate wewe, usilazimishe wengine wanaomuona Zitto kama tapeli na msanii wa kisiasa wafanane na wewe.

Chadema walishasema hawamuhitaji Zitto, hawakumtuma kusema yale na hawataki movement zake kuzihusianisha na masuala ya Chadema.

Mbowe naye kasema hana mpango wa kuomba msamaha na hakumtumq mtu akamuombee msamaha.
 
Kwanza aombe msamaha kwa kosa gani, kesi ya kisiasa na kubambika ndio aombe msamaha, alishasema yeye mwenyewe awezi pigia magoti maccm kwa kesi ya michongo.
 
"Kuna gharama kubwa ya kuwa shujaa"

Kesi ya Mbowe ilipoanza tulisikia watu mbalimbali wakihudhuria mahakamani na wengine kushinikiza aachiwe, tulishuhudia mabalozi kutoka nchi za Marekani, Ujerumani na Ubelgiji wakihudhuria na kutoa matamko mbalimbali lakini Leo yupo pekee yake na makosa yake nyuma ya nondo.

Kwa huruma na kutambua makosa aliyonayo Mbowe dhidi ya jamhuri yake, Zitto akaja na mpango madhubuti wa kumnusuru kaka na kiongozi wake wa zamani kwa kumuombea msamaha lakini ili kuonekana shujaa anagomea huo msamaha.

Dunia imebadilika na Mbowe asitegemee anaweza kutoka mahabusu au mahakamani kwa watu kujitoa kwa ajili yake. Zile nyakati za kumpigania MTU kwa maandamano zimepitwa na wakati.

Kwangu Mimi ,Zitto ni shujaa aliyezielewa siasa za kisasa na anafanya siasa zenye mahitaji ya kisasa ila kwa CHADEMA na Mbowe watagharamika kutoka kuonekana mashujaa kwa kutumia mbinu za kizamani
Umekuja na Id nyingine mzee P
 
Kwa hiyo Zito amekuwa malkia wako wa nguvu[emoji1787]
 
Watu hawataki kuomba misamaha ya kujipendekeza.
Anataka ahukumiwe kwa haki kama ni gaidi basi ukweli ujulikane sio kuonewa huruma.
 
Back
Top Bottom