Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Wahusika chukueni hatua za kisheria dhidi ya group lililopo FB linalojiita JamiiForums.
Group hilo Linatumiwa nawatu wenye nia mbaya kuchonganisha watu na taasisi private na hata kuupotosha umma.
Uongozi wa JamiiForums chukueni hatuza kwani watu wengi hudhani kuwa Nyie ndiyo mnamiliki Hilo group.
Mfano, Screenshot ya Post niliyoambatanisha hapa Mkienda kusoma comments, Nyingi zinaitukana JamiiForums.
Cc Maxence Melo
Group hilo Linatumiwa nawatu wenye nia mbaya kuchonganisha watu na taasisi private na hata kuupotosha umma.
Uongozi wa JamiiForums chukueni hatuza kwani watu wengi hudhani kuwa Nyie ndiyo mnamiliki Hilo group.
Mfano, Screenshot ya Post niliyoambatanisha hapa Mkienda kusoma comments, Nyingi zinaitukana JamiiForums.
Cc Maxence Melo