Kuna Group Linajiita JamiiForums linapotosha Umma

Kuna Group Linajiita JamiiForums linapotosha Umma

Hawajapotosha wametoa habari na msimamo wa papa kama ilivyo hata BBC wamereport habari hiyo
Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.
Akijibu kundi la makadinali waliomwomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".
"Hatuwezi kuwa majaji ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga," alisema.
Aliongeza, hata hivyo, kwamba Kanisa bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya idadi iliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.
Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.
Maaskofu katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Ubelgiji na Ujerumani, wameanza kuwaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsia moja, lakini msimamo wa mamlaka ya Kanisa ulibakia kutoeleweka.
Mnamo 2021, kufuatia ombi kama hilo la ufafanuzi, ofisi ya mafundisho ya Vatikani iliamua kutoruhusu zoea hilo.
Akijibu ombi la hivi punde zaidi, Papa alisema kwamba Kanisa linaelewa ndoa kuwa "muungano wa kipekee, thabiti, na usioweza kutenganishwa kati ya mwanamume na mwanamke" na inapaswa kuepuka "aina yoyote ya ibada au sakramenti ambayo inaweza kupingana na imani hii".
Lakini aliongeza kuwa "baraka inapoombwa, ni kuonyesha ombi kwa Mungu kwa msaada, dua ya kuishi bora".
"Busara ya kichungaji lazima itambue vya kutosha kama kuna aina za baraka, zinazoombwa na mtu mmoja au zaidi, ambazo hazileti dhana potofu ya ndoa," alisema.
Akionekana kupendekeza kwamba maombi ya baraka yazingatiwe kwa msingi wa kesi baada ya kesi, alisema kwamba "maamuzi ambayo yanaweza kuwa sehemu ya busara ya kichungaji katika hali fulani haipaswi kuwa kawaida".
"Sheria ya Canon haifai na haiwezi kufunika kila kitu," alisema.
Aliongeza kuwa Kanisa linapaswa kukaribia uhusiano wake na watu kila wakati kwa "fadhili, uvumilivu, ufahamu, huruma, na kutia moyo".
Mnamo Februari, kura ya viongozi wakuu katika Kanisa la Uingereza iliunga mkono mapendekezo ya kuruhusu maombi ya baraka kwa wapenzi wa jinsia moja.
Hatua hiyo ilimaanisha kwamba wanandoa wa jinsia moja wanaweza kwenda katika kanisa la Anglikana baada ya sherehe ya ndoa halali kwa ajili ya huduma zikiwemo maombi ya wakfu, shukrani, na baraka za Mungu.
 
Hakuna sehemu Papa amesema hayo maneno,hata BBC wamepelekewa Moto mpaka wamehariri huo ushoga wao.

BBC wanatumia nafasi yao kuzoa watu mazumbukuku wasiojitambua ili ajenda zao za Siri zipate kupenya,Kama hapa nawewe umejaa.
Mnajaribu kujificha kwenye shamba la karanga [emoji1787]
Screenshot_20231005_202908_X.jpg
 
Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.
Akijibu kundi la makadinali waliomwomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".
"Hatuwezi kuwa majaji ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga," alisema.
Aliongeza, hata hivyo, kwamba Kanisa bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya idadi iliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.
Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.
Maaskofu katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Ubelgiji na Ujerumani, wameanza kuwaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsia moja, lakini msimamo wa mamlaka ya Kanisa ulibakia kutoeleweka.
Mnamo 2021, kufuatia ombi kama hilo la ufafanuzi, ofisi ya mafundisho ya Vatikani iliamua kutoruhusu zoea hilo.
Akijibu ombi la hivi punde zaidi, Papa alisema kwamba Kanisa linaelewa ndoa kuwa "muungano wa kipekee, thabiti, na usioweza kutenganishwa kati ya mwanamume na mwanamke" na inapaswa kuepuka "aina yoyote ya ibada au sakramenti ambayo inaweza kupingana na imani hii".
Lakini aliongeza kuwa "baraka inapoombwa, ni kuonyesha ombi kwa Mungu kwa msaada, dua ya kuishi bora".
"Busara ya kichungaji lazima itambue vya kutosha kama kuna aina za baraka, zinazoombwa na mtu mmoja au zaidi, ambazo hazileti dhana potofu ya ndoa," alisema.
Akionekana kupendekeza kwamba maombi ya baraka yazingatiwe kwa msingi wa kesi baada ya kesi, alisema kwamba "maamuzi ambayo yanaweza kuwa sehemu ya busara ya kichungaji katika hali fulani haipaswi kuwa kawaida".
"Sheria ya Canon haifai na haiwezi kufunika kila kitu," alisema.
Aliongeza kuwa Kanisa linapaswa kukaribia uhusiano wake na watu kila wakati kwa "fadhili, uvumilivu, ufahamu, huruma, na kutia moyo".
Mnamo Februari, kura ya viongozi wakuu katika Kanisa la Uingereza iliunga mkono mapendekezo ya kuruhusu maombi ya baraka kwa wapenzi wa jinsia moja.
Hatua hiyo ilimaanisha kwamba wanandoa wa jinsia moja wanaweza kwenda katika kanisa la Anglikana baada ya sherehe ya ndoa halali kwa ajili ya huduma zikiwemo maombi ya wakfu, shukrani, na baraka za Mungu.
Ushetan sana.
 
hakuna anayejificha kwenye shamba la karanga au mchicha,tunajaribu kukuchanua kwamba hapa mlengwa ni wewe ili ujae.

lakini kama ilivyo ada,huwezi kuelewa maana tayari umeshajaa.
Sasa hicho chombo cha habari RT kilichoripoti ni BBC? Kwanini mnaishambulia BBC tuu
 
Hata hivyo ni kweli papa mbona nae ni shoga kitambo.
 
Hakuna sehemu Papa amesema hayo maneno,hata BBC wamepelekewa Moto mpaka wamehariri huo ushoga wao.

BBC wanatumia nafasi yao kuzoa watu mazumbukuku wasiojitambua ili ajenda zao za Siri zipate kupenya,Kama hapa nawewe umejaa.
More evidences.

Mpaka mkubali kwamba mna ongozwa na wehu.
FB_IMG_1696330843289.jpg
Screenshot_20231003-151854.jpg
 
Kama kiongozi wa dini anabariki ushoga basi kanisa katoliki imekuwa takataka
 
Ninalolijua ni hili

Inadaiwa kuwa Wakandarasi wanafanya ukarabati wa Uwanja wa Taifa, wamekuta fuvu la kichwa cha Binadamu wakati wakiondoa nyasi za zamani.

- Uwanja huo unafanyiwa ukarabati kwa kuoweka nyasi mpya katika sehemu ya kuchezea.View attachment 2772944

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mkapa hatoki mtu. Hawa nyau FC wachawi Sana. Kama waliweza kuroga mchana kweupe....hao wakandarasi wachimbe zaidi labda watakutana na matunguli mengine.
 
Back
Top Bottom