mpaka siku ukija kushtuka kwamba watu wako mission ili upakuliwe,tayari hutakuwa na linda.More evidences.
Mpaka mkubali kwamba mna ongozwa na wehu.View attachment 2773045View attachment 2773046
Nakwambia hivi PAPA wenu huyo ana Unga mkono ndoa za jinsia moja ushoga.mpaka siku ukija kushtuka kwamba watu wako mission ili upakuliwe,tayari hutakuwa na linda.
kwahiyo hizo ndio evidence za papa akizungumza[emoji38][emoji38][emoji38].
Simba haoNinalolijua ni hili
Inadaiwa kuwa Wakandarasi wanafanya ukarabati wa Uwanja wa Taifa, wamekuta fuvu la kichwa cha Binadamu wakati wakiondoa nyasi za zamani.
- Uwanja huo unafanyiwa ukarabati kwa kuoweka nyasi mpya katika sehemu ya kuchezea.View attachment 2772944
Sent using Jamii Forums mobile app
Papa haungi mkono ndoa za jinsia moja na msimamo wake uko wazi siku zote,kwamba ni DHAMBI.Nakwambia hivi PAPA wenu huyo ana Unga mkono ndoa za jinsia moja ushoga.
Una zunguka zunguka wakati ukweli ndio huo.
Huenda hata huyo papa wenu anafukunyuliwa.
Ni kweli kuna kautofauti na BBC walivyoripoti , hawa ni wameripoti kama hilo suala limepitisha na kanisa kubwa halali lakinibbbc wameripoti " kanisa katoliki lafikiria kubariki (kuruhusu)......." Means halijapitishwaYale yalikuwa Maoni ya papa yaani mapendekezo yake binafsi na Siyo msimamo wa Kanisa. Hata BBC hawakuripoti hivyo. Hizi Media uchwara Ndizo zinapotosha.
HatariNinalolijua ni hili
Inadaiwa kuwa Wakandarasi wanafanya ukarabati wa Uwanja wa Taifa, wamekuta fuvu la kichwa cha Binadamu wakati wakiondoa nyasi za zamani.
- Uwanja huo unafanyiwa ukarabati kwa kuoweka nyasi mpya katika sehemu ya kuchezea.View attachment 2772944
Sent using Jamii Forums mobile app
...Ni wewe Mkuu ndio uko huko FB ?? Mbona unatetea Sana ???? [emoji57][emoji57]Hawajapotosha wametoa habari na msimamo wa papa kama ilivyo hata BBC wamereport habari hiyo
...Ni Wewe !!...Kanisa ni jengo tu papa ndo kiongozi msimamo wake ndo msimamo wa kanisa.
....Na WASIOELEWA ndio Wengi, wewe ukiwa mmoja wapo...!Ipo dhahiri Papa anaunga mkono LGBTQ siyo mara ya kwanza kuonyesha hilo haiwezi kuwa bahati mbaya kwa mara 3 mfululizo eti na watu wawe hawaelewi inamaana wenye uwezo wa kuelewa mpo watu wachache tu sisi wote tuliobaki hatuna uwezo wa kuelewa? Tafakari.