Kuna habari kuwa huko Geita watu wanaweka mtego wa fumanizi ili wajipatie pesa

Kuna habari kuwa huko Geita watu wanaweka mtego wa fumanizi ili wajipatie pesa

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Nasikia ina watarget zaidi matajiri wa huko Geita, haswa hawa wa migodini.

Unakuta mke wa mtu ni chombo anakubaliwa na tajiri mmoja wana plan kukutana lodge then anafumaniwa ghafla na mme wa mtu, so kinachofatia ni mme kuomba fidia ili asichukue hatua yoyote ambayo aliefumaniwa hatapenda imfikie.

Sasa sijui mme na mke wanapanga fumanizi au ni mme anafuatilia taratibu hadi anawashtukiza.
 
Nasikia ina watarget zaidi matajiri wa huko Geita, haswa hawa wa migodini.

Unakuta mke wa mtu ni chombo anakubaliwa na tajiri mmoja wana plan kukutana lodge then anafumaniwa ghafla na mme wa mtu, so kinachofatia ni mme kuomba fidia ili asichukue hatua yoyote ambayo aliefumaniwa hatapenda imfikie.

Sasa sijui mme na mke wanapanga fumanizi au ni mme anafuatilia taratibu hadi anawashtukiza.
Mambo ya hovyo sana, fumanizi inapaswa kufanywa kosa la jinai kwani inaingilia faragha za watu.
 
Nasikia ina watarget zaidi matajiri wa huko Geita, haswa hawa wa migodini.

Unakuta mke wa mtu ni chombo anakubaliwa na tajiri mmoja wana plan kukutana lodge then anafumaniwa ghafla na mme wa mtu, so kinachofatia ni mme kuomba fidia ili asichukue hatua yoyote ambayo aliefumaniwa hatapenda imfikie.

Sasa sijui mme na mke wanapanga fumanizi au ni mme anafuatilia taratibu hadi anawashtukiza.
Mbona rahisi tu KUKWEPA huo mtego
1. Mwambie mahala mnapoenda mapema na mpitie alipo ukiwa na usafiri wako hata ikibidi azima
2. Elekea njia ya pale pahala ulimwambia halafu jifanye ghafla kuwa nafasi zimejaa
3. Mkiwa mnaenda pahala pengine mnyang'anye simu na ikibidi izime kabisa
4. Hakikiksha unapakua hadi masega
NB: ARV utanunua hakuna tena ufadhili
 
Mbona rahisi tu KUKWEPA huo mtego
1. Mwambie mahala mnapoenda mapema na mpitie alipo ukiwa na usafiri wako hata ikibidi azima
2. Elekea njia ya pale pahala ulimwambia halafu jifanye ghafla kuwa nafasi zimejaa
3. Mkiwa mnaenda pahala pengine mnyang'anye simu na ikibidi izime kabisa
4. Hakikiksha unapakua hadi masega
NB: ARV utanunua hakuna tena ufadhili
Hahahahahjah

Sawa expert
 
Aisee😁
Ni kuwa makini na mwanamke usiyemjua vizuri, Miaka michache hapo nyuma nasikia palikuwa na wizi unaofana hivi.

Mtu anakuwa na mwanamke wake sehemu ambaye ni mpya mpya linatokea kundi la watu linaanza kumtukana huyo mwanamke na kumwita malaya, mzinzi kisha unageukiwa na kuulizwa unafanya nini hapo na mke wa mtu huku wengine wakirikodi.

Kama ni mwoga mwoga na makofi unakula kisha wanakupa option ununue hizo video na kulipa fidia au wazirushe mitandaoni.
 
Ni kuwa makini na mwanamke usiyemjua vizuri, Miaka michache hapo nyuma nasikia palikuwa na wizi unaofana hivi.

Mtu anakuwa na mwanamke wake sehemu ambaye ni mpya mpya linatokea kundi la watu linaanza kumtukana huyo mwanamke na kumwita malaya, mzinzi kisha unageukiwa na kuulizwa unafanya nini hapo na mke wa mtu wengine wakirikodi.

Kama ni mwoga mwoga na makofi unakula kisha wanakupa option ununue hizo video na kulipa fidia au wazirushe mitandaoni.
Aiseee hii ni hatari duuh
 
Nasikia ina watarget zaidi matajiri wa huko Geita, haswa hawa wa migodini.

Unakuta mke wa mtu ni chombo anakubaliwa na tajiri mmoja wana plan kukutana lodge then anafumaniwa ghafla na mme wa mtu, so kinachofatia ni mme kuomba fidia ili asichukue hatua yoyote ambayo aliefumaniwa hatapenda imfikie.

Sasa sijui mme na mke wanapanga fumanizi au ni mme anafuatilia taratibu hadi anawashtukiza.
Wameishiwa hivi baada ya mfadhili wao Magu kutoweka siyo?
 
Back
Top Bottom