Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Mada hapo juu yaeleweka.
Serikali ya awamu hii imeibua mradi mwingine wa Matrilioni wa ujenzi wa secondary mpya zaidi ya 1056. Katika shule hizi 26 zitakuwa za bweni huku kila mkoa Tanzania bara ikipata shule moja ktk hizo 26. Hapo naipongeza serikali kwa hilo la shule 26.
Shule nyingne zaidi ya 1030 zitakuwa za kutwa na zitajengwa maeneo mbalimbali nchini.
Swali: Kwanini tuhangaike kujenga shule nyingne ilihali secondary za Sasa hazina nyumba za walimu, maabara na mabweni huku wasichana wakipigwa mimba kila siku?
Serikali ya awamu hii imeibua mradi mwingine wa Matrilioni wa ujenzi wa secondary mpya zaidi ya 1056. Katika shule hizi 26 zitakuwa za bweni huku kila mkoa Tanzania bara ikipata shule moja ktk hizo 26. Hapo naipongeza serikali kwa hilo la shule 26.
Shule nyingne zaidi ya 1030 zitakuwa za kutwa na zitajengwa maeneo mbalimbali nchini.
Swali: Kwanini tuhangaike kujenga shule nyingne ilihali secondary za Sasa hazina nyumba za walimu, maabara na mabweni huku wasichana wakipigwa mimba kila siku?