Samico Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 6, 2022
- 486
- 1,237
- Thread starter
- #21
Kwahiyo changamoto ni raw material wala siyo bei?Kiukweli gharama za uendeshaji hasa kupata raw materials ni pasua kichwa ndani ya bongo. Kwa mfano mimi nilijipinda kufungua kiwanda kidogo cha ushonaji ila nikakwama vibaya kupata fabrics. Nakumbuka bei za vitambaa Sunflag ilikuwa sio poa... yaani ukipiga hesabu unaona bora uagize tu nguo China kuliko kushona mwenyewe. Ilibidi niuze mashine zote. Huenda pia SIDO wanapata wakati mgumu kupata materials. Ila kwa ubora naweza thibitisha mashine za SIDO ziko poa kabisa.
Lakini wakati mwingine ishu ya material ndiyo kichaka cha kujifichia!
Nenda kaulizie gharama ya geti pale SIDO watakupatia gharama kubwa sana!
Lakini ukinunua material mwenyewe ukaita fundi mtaani ukaunda geti lilelile utaona bei inapungua karibia nusu ya bei ya SIDO!
Hauoni kwamba wakati mwingi ishu ya material inatumika kama kichaka?