mabhuimerafulu
Member
- May 29, 2012
- 89
- 38
Watu wanalilalamikia baraza la mitihani la taifa (necta).nami nakubaliana nao na naona ipo haja ya kulimulika baraza hilo. Kumekuwa na malalamiko kwamba usahihishaji wa mitihani si wa kuridhisha na baadhi ya watahiniwa hufelishwa kutokana na tabia hiyo, ulipuaji. Kwanza unapokata rufaa ili papers zako zipitiwe wanachukua pesa bure hawasahihishi upya. Pili nadhani si sahihi ukate rufaa kwa necta ileile iliyokufelisha. Kiwepo chombo maalum cha kushughulikia rufaa hizo. Ukweli kuna madudu necta.wanajf mtakapochangia, natoa mifano halisi ya hali hii.ni madudu tupu