Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Kwahiyo unafurahia kuishi kwa tahadhari?!Unaendelea kuishi ila kwa matumaini au tahadhari. ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unafurahia kuishi kwa tahadhari?!Unaendelea kuishi ila kwa matumaini au tahadhari. ...
Kwahiyo unafurahia kuishi kwa tahadhari?!
Kufurahi ni kitu kingine na tahadhari ni kitu kingine.....
Hata ukiwa unaishi kwa amani kama huikaribishi furaha maishani mwako hutokuwa ma furaha hata usipopima.
Kupanga ni kuchagua, chagua kusuka au kunyoa kufurahi au kuhuzunika yote yako mikononi mwako na sababu utakuwa nayo kwanini umechagua hivyo.
Kumbe huishi kwa tahadhari
Kume unapenda dry basi tu unanizungushaaHahahahahahaa mjanja wewee heheheheheh
Naishi kwa tabasamu muda wote ndani yake kuna upendo ambao ndani yake kuna utu wema, fadhili, kiasi, kutokuhesabu mabaya, kutokutakabari, kusamehe, upole........
Kume unapenda dry basi tu unanizungushaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aahahahahahahhahahahaaaa chizi wewee unajua mwenzio ulikuwa umeniacha salenda aahahahahahhaaa looh hata sikuwa nimeelewa.
Kasie tena nyama nyama ndo mpango mzima, shurti la kuila ndizi mbivu uimenye majanga atii hehehehehehehehee yaani weweee umenihamisha ujue wakati mwenzio nilikuwa nanukuu kifungu cha biblia aahahahahahahahaa looh sina hamu.
Kwahiyo yule jamaa wa juzi umempa mbichi kbs?!
Mashalaah
Hahahahaaa yupi huyoo? Halafu ndizi mbichi ina utomvu ujue.....
Umewahi kumeza utomvu?!
Yule wa lunch
Weee Nokia weweee aahahahahhahahahaaa acha ukorofi shauri yako.
Unanikumbusha tukio moja miaka hiyoo wakati najifunza kuendesha gari..... hapo niliumeza bila kutarajia looh...
Yule wa lunch bado tulikubaliana next date iwe tukutane mziki, bado hatujabambana aahahahahahahahaa weeweee acha kufukua makaburi bana.
Mbona unakazania sana mkuu...utafikiri ni lazima aukute....halafu unamtisha ujue....Kama ulishawawi kukutana na mwanamke ambae ni HIV+ na ukapima baada ya miezi mitatu ukakuta ni negative(-),,,,, hapa napata mashaka kama ulipima katika kituo cha afya au ulijipima mwenyew baada ya kununua kipimo..(ningependa nifahamu)..
kwa nin nimeuliza ivo!!!!
swaka la kupima ukimwi ni jambo ambalo linarutubiwa na miongozo ambayo hutumia watalaam ambao washapewa semina nzima ya uenseshaji wa zoezi ilo ivyo kukupa wewe ushauri ulio mzuri juu ya case yako iyo!!!
lakin kwa jinsi ukivyouliza napata ukakasi kidogo kama walishindwa kukupa ushauri stahiki au ulipindisha pindisha maelezo au ulijipima mwenyew..
anyway ni ivi kirusi kikishaingia mwilini huwaga kuna hatua saba ambazo hupitia mpaja kujizalisha na kuenea kwenye damu ndani ya muda flani ambao kwa wastani ni baada ya miezi mitatu (angalizo mara nyingine mda huongezeka na kua zaidi ya miezi mitatu inategemeana mfumo wa mwili)..
ivyo sasa ili kujihakikisha kua huna maambukizi ni jukumu lako kwenda kituo cha afya na kupima tena kama utakua ni negative(-),,utarudi mara ya pili baada ya miez mitatu then kama ni negative(-).. utarud tena mara ya tatu baada ya miezi mingine mitatu... na hapo sasa kama utakutwa negative(-) baadhi itabidi uanze kuulinda mwili wako..
ila kama huko juu utakutwa positive(+) then utaanzishiwa dawa za kupumbaza na kupunguza makali ya ukimwi kitalaam tunazita Ant Retro Viruse drug(ARVs) maana muongozo mpya wa matibabu ya ukimwi chini ya wizara ya afya ni ONCE HIV(+) THEN START ARVS!!!
Sasa utomvu unauogopea nn?!
Unapenda umwagikie usoni au kwny mapapai?!
Siogopi hata, ndo lishe yenyewe ile asilia hehehehehe
Kooteee usoni inasaidia ngozi kuwa mwororo kama ule mrija wa ndani, kwenye mapapai unafanya circumference iwe kwenye ujazo sahihi aahahahahahahahahahaahaa
Wee Nokia wewe shauri yako, ujue kuna watoto wanapita hapa aahahahahahahhahahahahahahaaa wakija mie nakusingizia ni wewe ndo umeanzisha hehehhehehehee
Ngoja ninyamaze basi
Hahahahhahahahaaa looh sina hamu, it was short but brief.
Hamu unayo sana...usingevaa thong leo
Ww huzipendi?!Haaaha haki ya nani wewe ni muuaji looh.
Kumbe unapendaga hizo eeh.... nshajua.