Huu utitiri wa mashindano hauna afya, mwakani Yanga na Simba (au azam) zitashiriki
1. Caf ligi ya mabingwa
2. African Super league
3. Ligi kuu bara
4. Ligi ya muungano
5. FA
6. Mapinduzi cup
7. Ngao ya jamii
Ushauri
1. Ligi mpya ya muungano na mapinduzi cup ziunganishwe
2. Ngao ya jamii irudi kama zamani kuwe na timu 2, mechi moja
1. Caf ligi ya mabingwa
2. African Super league
3. Ligi kuu bara
4. Ligi ya muungano
5. FA
6. Mapinduzi cup
7. Ngao ya jamii
Ushauri
1. Ligi mpya ya muungano na mapinduzi cup ziunganishwe
2. Ngao ya jamii irudi kama zamani kuwe na timu 2, mechi moja