Kuna haja ya kurudisha Tanzania Housing Bank (THB) na kuichukua CRDB iwe ya Serikali kwa 100%

Kuna haja ya kurudisha Tanzania Housing Bank (THB) na kuichukua CRDB iwe ya Serikali kwa 100%

CRDB ilikuwa Bank ya serikali lakini ikabinafsishwa GM akiwa huyo Kimei au John Rubambe sikumbuki vizuri

Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT

Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali

Na wewe Bashe acha kulia lia CRDB ni Benki ya serikali na kirefu chake ni Cooperative and Rural Development Bank sass inataka kuanzisha Benki nyingine ya nini?

Mungu anawaona mjue
TIB wana Lumumba mlikopeshana hadi mkaifilisi. Mlipoona hamuwezi kuwadai makada wenu mkaamua kuiunganisha na TPB na Twiga Bancorp.

Wana Lumumba mtakuwa kuni kule shimo la moto
 
CRDB ilikuwa Bank ya serikali lakini ikabinafsishwa GM akiwa huyo Kimei au John Rubambe sikumbuki vizuri

Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT

Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali

Na wewe Bashe acha kulia lia CRDB ni Benki ya serikali na kirefu chake ni Cooperative and Rural Development Bank sass inataka kuanzisha Benki nyingine ya nini?

Mungu anawaona mjue
Soma au uliza ujifunze...Hicho sio kirefu cha CRDB. Hiyo ni CRDB BANK LIMITED hiyo unayosema ilishakufa kitambo.
 
Sasa mtu anaajiriwa kwa mkataba wa kudumu mpaka kifo kitakapowatenganisha na Serikali,unategemea nini,Kama siyo kufanya kazi kwa mazoea.

Na hili ndio tatizo letu kubwa. Hakuna haja ya kuwa mbunifu, kuwa na bidii wala kujifunza mambo mapya. Kama hatujabadilisha na kuanza kutoa mikataba tena ya kila mwaka na renewal ni dependent on funding and requirements - hatutaendelea kamwe. Ni kwa sababu tunayakataa mabadiliko kutoka ndani!!
 
Alafu hiyo bank ikianzishwa
Itafanya nini bwasheh

Ova
 
Back
Top Bottom