HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Katika miaka ya hivi karibuni watu wengi wameongeza Dr( PhD) kabla ya majina yao. Ni kweli kuna watu wamestruggle kupata hizo PhDs kwa kukaa darasani na kufanya tafiti kwa muda mrefu, kuna wengine wamejipatia kupitia vyuo uchwara, na kuna wengine wamepewa za heshima. Hizi za heshima hatujua kama walistahili ua la! Sasa kutokana na kuongozeka kwa watu kutumia Phd kama njia ya kujipatia sifa mbele ya jamii na wakati mwingine kupata sifa ambazo wahastahili ninashauri kuwa na sheria inasimamia utumiaji wa hii sifa.
Phd itumiwe tu na watu ambao wamesoma hizo degree kwenye vyuo vinavyotambuliwa na sheria za nchi. Watu walipowe hizo za heshima wasijitambulishe kama Dr.
Phd itumiwe tu na watu ambao wamesoma hizo degree kwenye vyuo vinavyotambuliwa na sheria za nchi. Watu walipowe hizo za heshima wasijitambulishe kama Dr.