Kuna haja ya kuwa na mtu wa Employment opportunities kwenye kila college vyuoni

Kuna haja ya kuwa na mtu wa Employment opportunities kwenye kila college vyuoni

Saint Leo

Member
Joined
Nov 9, 2018
Posts
46
Reaction score
57
Employment officer wa college.

Habarini wanajukwaa.

Najua tatizo la ajira kwa vijana wanaotoka vyuoni ni janga kwa taifa hili. Hii inatokana na sababu kwamba wahitimu wengine wanamaliza chuoni pengine hata bila kujua ni sehemu gani wanaweza omba nafasi za kazi ambazo marachache chache zinaweza kuwepo kwenye sector binafsi ukiachilia mbali nafasi za serikalini ambazo watu wengi wanaweza zi "access" zikitangazwa.

Mimi ningependa kutoa maoni yangu kwa vyuo katika idara kubwa(departments) au college kwamba kwanini wasiweze kuajiri mtu special ambaye kazi yake itakuwa ni kukusanya taarifa kwenye makampuni na taasis binafsi zinazohusiana na college yake(awe anatafuta connections na anazi secure kwa kuwahakikishia watumishi wa uhakika) ili pale watu wanapohitimu tu wanaomba kwa kupitia website aliyoiandaa.

Mfano: Kampuni A inahitaji watu kadhaa wa marketing,etc.

Kampuni B inahitaji watu wa4 wa intern,

Hili nalo naona chuo kitakuwa na msaada kwa wateja wao kwenye soko la ajira.
 
Employment officer wa college.

Habarini wanajukwaa.

Najua tatizo la ajira kwa vijana wanaotoka vyuoni ni janga kwa taifa hili. Hii inatokana na sababu kwamba wahitimu wengine wanamaliza chuoni pengine hata bila kujua ni sehemu gani wanaweza omba nafasi za kazi ambazo marachache chache zinaweza kuwepo kwenye sector binafsi ukiachilia mbali nafasi za serikalini ambazo watu wengi wanaweza zi "access"
Ni jambo jema ila sasa shida ni ukiritimba katika kampuni na taasisi mbalimbali hapa nyumbani Tanzania.
 
Hiyo ni nzuri sana! Ikiwezekana iwe kimataifa zaidi.

Kuna kipindi fulani nilisikia Kenya kuna kitengo maalumu cha serikali kuwatafutia ajira wahitimu nje ya nchi. Yaani mhitimu unajisajili kwenye kanzi data ambapo unakuwa unapewa updates za ajira nje ya nchi!
 
we-want-beer-poster-in-hands-sketch-vector-29184732.jpg
 
Back
Top Bottom