Kuna haja ya kuweka mchujo mkali kwenye chaguzi zetu ili kupata viongozi bora

Kuna haja ya kuweka mchujo mkali kwenye chaguzi zetu ili kupata viongozi bora

pachawako

Senior Member
Joined
Mar 30, 2024
Posts
120
Reaction score
315
Habari wana JF.
Leo nataka niseme, hali yakuendekeza njaa kwenye kila kitu imesababisha kutengeneza mifumo mibovu inayokuja kuleta waropokaji na watu wa deals wengi kuliko watendaji wa maendeleo kwenye nchi yetu.

Mfano, mtu anachaguliwa kugombea kupitia committee ya chama chake then anakuja kujinadi af anaondoka kusubiri chaguzi! ❌

Ilibidi kuwepo na midaharo officials ya kumjadiri kwanza huyo mgombea sehemu tofauti kisha inapaswa kuitwa na kuhojiwa na wakufunzi, wanafunzi wa vyuo pia wadau wa taasisi na mashirika binafsi pamoja na umoja wa watu mbali mbali kuhusiana na changamoto zao na vipi ataweza kuzitatua yeye na chama chake LIVE palepale.✅

Mtu anayenda kulipwa mamilioni ya fedha za wananchi anakuja jimboni na V8 anasimama kwenye kimeza cha laki au kwenye roof ya gari then anaomba kupewa jukumu la kusimamia miradi mikubwa ya mabilioni kwa kusimamisha watu kwenye jua❌

Kuna mda wananchi tubadirike issue za kwenda kushangaa msafara wa viongozi na mbwembwe za warinzi wao ni upuuzi kabisa, ilipaswa iyo mikutano ifanyike official usiku kwenye viwanja vikubwa na siku zisizokua za kazi, watu wapate nafasi za kukaa kama wao wanavyo kua wamekaa, na kusikiriza vizuri sera zao✅

Wananchi tusiwe watu waushabiki kwenye siasa hii ni mbaya sana, tupambanie na usawa na haki mtu apate nafasi kwa uwezo wake na maono aliyoyabeba kuongoza taifa na sio nguvu ya chama, jina, ama utajiri wake.

Kama unamarekebisho unayoyaona yanafaa kuwekwa kwenye chaguzi zetu please share huenda watu wanakunguka akili zaidi.
 
Habari wana JF.
Leo nataka niseme, hali yakuendekeza njaa kwenye kila kitu imesababisha kutengeneza mifumo mibovu inayokuja kuleta waropokaji na watu wa deals wengi kuliko watendaji wa maendeleo kwenye nchi yetu.

Mfano, mtu anachaguliwa kugombea kupitia committee ya chama chake then anakuja kujinadi af anaondoka kusubiri chaguzi! ❌

Ilibidi kuwepo na midaharo officials ya kumjadiri kwanza huyo mgombea sehemu tofauti kisha inapaswa kuitwa na kuhojiwa na wakufunzi, wanafunzi wa vyuo pia wadau wa taasisi na mashirika binafsi pamoja na umoja wa watu mbali mbali kuhusiana na changamoto zao na vipi ataweza kuzitatua yeye na chama chake LIVE palepale.✅

Mtu anayenda kulipwa mamilioni ya fedha za wananchi anakuja jimboni na V8 anasimama kwenye kimeza cha laki au kwenye roof ya gari then anaomba kupewa jukumu la kusimamia miradi mikubwa ya mabilioni kwa kusimamisha watu kwenye jua❌

Kuna mda wananchi tubadirike issue za kwenda kushangaa msafara wa viongozi na mbwembwe za warinzi wao ni upuuzi kabisa, ilipaswa iyo mikutano ifanyike official usiku kwenye viwanja vikubwa na siku zisizokua za kazi, watu wapate nafasi za kukaa kama wao wanavyo kua wamekaa, na kusikiriza vizuri sera zao✅

Wananchi tusiwe watu waushabiki kwenye siasa hii ni mbaya sana, tupambanie na usawa na haki mtu apate nafasi kwa uwezo wake na maono aliyoyabeba kuongoza taifa na sio nguvu ya chama, jina, ama utajiri wake.

Kama unamarekebisho unayoyaona yanafaa kuwekwa kwenye chaguzi zetu please share huenda watu wanakunguka akili zaidi.
nadhani CCM wanafanya mchujo makini sana kwa midahalo maalumu mbele ya wanachama wao, ndio maana chuguzi zao za mchujo hufuatiliwa zaidi na zina mvuto na hamasa zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe 🐒
 
nadhani CCM wanafanya mchujo makini sana kwa midahalo maalumu mbele ya wanachama wao, ndio maana chuguzi zao za mchujo hufuatiliwa zaidi na zina mvuto na hamasa zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe 🐒
Sasa hivi wenye viti wa mitaa karibi nchi nzima ni criminals tu.
 
nadhani CCM wanafanya mchujo makini sana kwa midahalo maalumu mbele ya wanachama wao, ndio maana chuguzi zao za mchujo hufuatiliwa zaidi na zina mvuto na hamasa zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe 🐒
Midahalo ya kukiletea chama maendeleo si ni tofauti na midahalo ya mikakati ya nchi? Hisia zangu zinanambia iyo campaign ndani ya chama ziko based kwenye interest za wao kuona mtu uyu anauwezo wa kuwavusha kichama na sio kama nchi by anymens, kwangu mimi sioni kama zina tija sana countrywide.
 
sasa innocents,
si mjitokeze baadae mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mlambishwe sakafu vizuri,

halafu sasa baada ya kuwashinda sijui mtawaita tena ni bandits 🐒
CCM hawatakubali maana wanapenda sana criminals.Magufuri tayari ameshaanzisha mfumo 2019,2020 na huu mfumo ccm watautumia sana.
 
Labda tuwakaribishe GEN-Z kutoka Kenya.
unaelewa masuala ya vyama vya siasa na uimara wake, inategemea sana umadhubuti wa misingi yake tangu kuanzishwa kwake 🐒

chama imara chenye viongozi makini na maono ya mbali, huwezi kuta analalamikia mfumo, sera au mipango ya vyama vingine. ukiona vya elea ujue vimeundwa 🤣

kinachotakuwa ni wewe sasa na chama chako kujenga, mifumo, sera na mipango imara zaidi ya wengine ili kuwin the support ya wananchi na wapiga kura 🐒

hicho ndicho ladies and gentlemen 🤣
 
unaelewa masuala ya vyama vya siasa na uimara wake, inategemea sana umadhubuti wa misingi yake tangu kuanzishwa kwake 🐒

chama imara chenye viongozi makini na maono ya mbali, huwezi kuta analalamikia mfumo, sera au mipango ya vyama vingine. ukiona vya elea ujue vimeundwa 🤣

kinachotakuwa ni wewe sasa na chama chako kujenga, mifumo, sera na mipango imara zaidi ya wengine ili kuwin the support ya wananchi na wapiga kura 🐒

hicho ndicho ladies and gentlemen 🤣
Lowasa alitufumbua macho pale alipokuwa anasema tatizo ni ELIMU,ELIMU,ELIMU,ELIMU,ELIMU.
 
Lowasa alitufumbua macho pale alipokuwa anasema tatizo ni ELIMU,ELIMU,ELIMU,ELIMU,ELIMU.
licha ya Elimu kua kipaumbele muhimu sana katika katika kujenga na kuendesha vyama vya kisiasa, zile organs jumuiya na kamati mbalimbali zinazoongozwa na watu wenye utashi wa kisiasa huongeza hamasa na uimara wa vyama vya kisiasa mara dufu 🐒
 
Habari wana JF.
Leo nataka niseme, hali yakuendekeza njaa kwenye kila kitu imesababisha kutengeneza mifumo mibovu inayokuja kuleta waropokaji na watu wa deals wengi kuliko watendaji wa maendeleo kwenye nchi yetu.

Mfano, mtu anachaguliwa kugombea kupitia committee ya chama chake then anakuja kujinadi af anaondoka kusubiri chaguzi! ❌

Ilibidi kuwepo na midaharo officials ya kumjadiri kwanza huyo mgombea sehemu tofauti kisha inapaswa kuitwa na kuhojiwa na wakufunzi, wanafunzi wa vyuo pia wadau wa taasisi na mashirika binafsi pamoja na umoja wa watu mbali mbali kuhusiana na changamoto zao na vipi ataweza kuzitatua yeye na chama chake LIVE palepale.✅

Mtu anayenda kulipwa mamilioni ya fedha za wananchi anakuja jimboni na V8 anasimama kwenye kimeza cha laki au kwenye roof ya gari then anaomba kupewa jukumu la kusimamia miradi mikubwa ya mabilioni kwa kusimamisha watu kwenye jua❌

Kuna mda wananchi tubadirike issue za kwenda kushangaa msafara wa viongozi na mbwembwe za warinzi wao ni upuuzi kabisa, ilipaswa iyo mikutano ifanyike official usiku kwenye viwanja vikubwa na siku zisizokua za kazi, watu wapate nafasi za kukaa kama wao wanavyo kua wamekaa, na kusikiriza vizuri sera zao✅

Wananchi tusiwe watu waushabiki kwenye siasa hii ni mbaya sana, tupambanie na usawa na haki mtu apate nafasi kwa uwezo wake na maono aliyoyabeba kuongoza taifa na sio nguvu ya chama, jina, ama utajiri wake.

Kama unamarekebisho unayoyaona yanafaa kuwekwa kwenye chaguzi zetu please share huenda watu wanakunguka akili zaidi.
Tatizo letu ni viongozi wengi kukumbatia rushwa , wizi na kukosa uzalendo thabiti kwa nchi yao. Tukipata tiba ya hayo magonjwa nchi itaendelea bila kikwazo.. Maswali au mchujo hautasaidia.
 
Tatizo letu ni viongozi wengi kukumbatia rushwa , wizi na kukosa uzalendo thabiti kwa nchi yao. Tukipata tiba ya hayo magonjwa nchi itaendelea bila kikwazo.. Maswali au mchujo hautasaidia.
Viongozi wa Africa wengi huogopa kuhojiwa unajua kwanini? Sababu ujinga wao utaonekana dhahiri, bila kipimo cha kuhoji hatuwezi pata viongozi bora kumbuka kiongozi hawi bora kwa kujiongeza mwenyewe anakua bora kwa systems ziliwekwa ndo zinamguide.

Mfano leo utake kuajiri mtu bila interview ni vipi utajua hulka zake na Uwezo wake? Atakama umeweka cctv camera bila kumjua uyo mtu atakuharibia office ndo ivo ivo kwenye serikali wizi, rushwa uzalendo vinatengenezwa sababu hakuja mchujo sahihi mwisho wasiku unakuta tumetengeneza genge la wahuni ndo wanatuongoza.
 
Viongozi wa Africa wengi huogopa kuhojiwa unajua kwanini? Sababu ujinga wao utaonekana dhahiri, bila kipimo cha kuhoji hatuwezi pata viongozi bora kumbuka kiongozi hawi bora kwa kujiongeza mwenyewe anakua bora kwa systems ziliwekwa ndo zinamguide.

Mfano leo utake kuajiri mtu bila interview ni vipi utajua hulka zake na Uwezo wake? Atakama umeweka cctv camera bila kumjua uyo mtu atakuharibia office ndo ivo ivo kwenye serikali wizi, rushwa uzalendo vinatengenezwa sababu hakuja mchujo sahihi mwisho wasiku unakuta tumetengeneza genge la wahuni ndo wanatuongoza.
Viongozi wengi Wa Afrika wanaogopa kuhojiwa wakiwa Madarakani. Kabla ya hapo wengi ni wazungumzaji wazuri sana! Na Waafrika wengi hiki ni kigezo tunachotumia kuwapa Uongozi.

Kuna interview zinakuwa za "bandia"- kuna kuwa na mtu ambaye amepangwa kushinda hiyo interview, Genge lenye nguvu linaweza kutengeneza kamati au jopo la mchujo na kupitisha watu wao. Mchujo wa kweli katika siasa utatokea pale wananchi wengi wahusike katika kuchaguwa hao wagombea. Kila mtu anayetaka kugombea apewe nafasi na wananchi ndio waamue kama anafaa au la , hiyo ndio Demokrasia. Magenge au tabaka lenye nguvu litatumia uwezo wake wa hali na mali kujaza nafasi zote muhimu.
 
Back
Top Bottom