Tanzania tuna uhitaji mkubwa wa magari ya aina hii, size zinalingana na magari yafuatayo
1. Mabasi/Daladala size zote nne (hiace, coaster, Tata, mabasi ya mkoani)
2. Magari ya mizigo size zote 5 (kirikuu, townace, canter tani 1- 3.5, mafuso 10T)
3. Gari za kubeba mchanga size ya canter na fuso
4. Gari za lenye friji ya kubeba vitu vinavyoharibika mapema kama mbogamboga, matunda, nyama, kuku walio chinjwa,samaki, maziwa. Gari za ukubwa wa tani 1-3.5 hadi tani 10