Kuna Haja ya Kuwekeza Katika Kiwanda cha Kutengeneza Mabasi na Daladala

Kuna Haja ya Kuwekeza Katika Kiwanda cha Kutengeneza Mabasi na Daladala

Tanzania tuna uhitaji mkubwa wa magari ya aina hii, size zinalingana na magari yafuatayo
1. Mabasi/Daladala size zote nne (hiace, coaster, Tata, mabasi ya mkoani)
2. Magari ya mizigo size zote 5 (kirikuu, townace, canter tani 1- 3.5, mafuso 10T)
3. Gari za kubeba mchanga size ya canter na fuso
4. Gari za lenye friji ya kubeba vitu vinavyoharibika mapema kama mbogamboga, matunda, nyama, kuku walio chinjwa,samaki, maziwa. Gari za ukubwa wa tani 1-3.5 hadi tani 10
Mkuu hongera kwa bandiko zuri sana. Huu uzi utakuja kufunguliwa tena mwakani 2026 wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha haya magari.
 
Mkuu hongera kwa bandiko zuri sana. Huu uzi utakuja kufunguliwa tena mwakani 2026 wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha haya magari.
Ila inabidi magari yawe na bei ndogo kuliko magari used toka japan au magari ya kwenye yard za magari used toka japan. Au mtu aweze kulitumia gari kuzalisha mapato huku analipia kidogo kidogo kwa miaka 2 au zaidi.
 
Ila inabidi magari yawe na bei ndogo kuliko magari used toka japan au magari ya kwenye yard za magari used toka japan. Au mtu aweze kulitumia gari kuzalisha mapato huku analipia kidogo kidogo kwa miaka 2 au zaidi.
Hili linawezekana sana
 
Back
Top Bottom