1.Jerry Silaa ni mbunge anatumikia mhimili wa bunge ambao unapaswa kujitegemea.
2.Jerry Silaa ni waziri anatumikia serikali ambayo nayo ni mhimili unaojitegemea
3.Jerry Silaa ni wakili wa mahakama kuu hivyo anatumikia mhimili wa mahakama ambao pia hupaswa kujitegemea.
Wakati nikiwa kijana mdogo kabisa zamani tulisoma somo la siasa katika shule za msingi. Nimeskia siku hizi lilifutwa likaja la uraia..katika somo hilo tulifundishwa Kuna mihimili mitatu ya nchi. Serikali, bunge na mahakama. Tulifundishwa kwamba mihimili hii inapaswa kujitegemea na haiingiliani kabisa.
Katika mada yangu hapo juu nimemchagua Jerry Silaa kama mfano. Naangalia wakati akiwa waziri wa ardhi jinsi alivyokuwa anatumia hizo nafasi hadi mihimili inaingiliana katika shughuli zake za kila siku.
Yani waziri anasimama bungeni kwenye mhimili ambapo yeye ni mbunge wa ukonga, akiwakilisha mhimili mmoja wa serikali akiwa minister, huku analaumu mhimili wa tatu wa mahakama kwamba hautendi haki...hauamui vizuri kesi kama yeye mwanasheria na wakili anavyotaka...Yani ni mchanganyiko maalum.
Kuna haja Sasa ya KUBADILI SHERIA zetu.. sio LAZMA waziri atokane na wabunge...ikiwa mihimili hii haitakiwi kuingiliana..vipi waziri atokee kwenye ubunge..Sasa atajibana vipi???
Je ni mnavyoona mihimili hii inajitegemea??
Wasomi karibuni munisahihishe kama nimekosea..
Ngaiwoye nikiwa likizoni sauzafrika
2.Jerry Silaa ni waziri anatumikia serikali ambayo nayo ni mhimili unaojitegemea
3.Jerry Silaa ni wakili wa mahakama kuu hivyo anatumikia mhimili wa mahakama ambao pia hupaswa kujitegemea.
Wakati nikiwa kijana mdogo kabisa zamani tulisoma somo la siasa katika shule za msingi. Nimeskia siku hizi lilifutwa likaja la uraia..katika somo hilo tulifundishwa Kuna mihimili mitatu ya nchi. Serikali, bunge na mahakama. Tulifundishwa kwamba mihimili hii inapaswa kujitegemea na haiingiliani kabisa.
Katika mada yangu hapo juu nimemchagua Jerry Silaa kama mfano. Naangalia wakati akiwa waziri wa ardhi jinsi alivyokuwa anatumia hizo nafasi hadi mihimili inaingiliana katika shughuli zake za kila siku.
Yani waziri anasimama bungeni kwenye mhimili ambapo yeye ni mbunge wa ukonga, akiwakilisha mhimili mmoja wa serikali akiwa minister, huku analaumu mhimili wa tatu wa mahakama kwamba hautendi haki...hauamui vizuri kesi kama yeye mwanasheria na wakili anavyotaka...Yani ni mchanganyiko maalum.
Kuna haja Sasa ya KUBADILI SHERIA zetu.. sio LAZMA waziri atokane na wabunge...ikiwa mihimili hii haitakiwi kuingiliana..vipi waziri atokee kwenye ubunge..Sasa atajibana vipi???
Je ni mnavyoona mihimili hii inajitegemea??
Wasomi karibuni munisahihishe kama nimekosea..
Ngaiwoye nikiwa likizoni sauzafrika