Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
1.Jerry Silaa ni mbunge anatumikia mhimili wa bunge ambao unapaswa kujitegemea.

2.Jerry Silaa ni waziri anatumikia serikali ambayo nayo ni mhimili unaojitegemea

3.Jerry Silaa ni wakili wa mahakama kuu hivyo anatumikia mhimili wa mahakama ambao pia hupaswa kujitegemea.

Wakati nikiwa kijana mdogo kabisa zamani tulisoma somo la siasa katika shule za msingi. Nimeskia siku hizi lilifutwa likaja la uraia..katika somo hilo tulifundishwa Kuna mihimili mitatu ya nchi. Serikali, bunge na mahakama. Tulifundishwa kwamba mihimili hii inapaswa kujitegemea na haiingiliani kabisa.

Katika mada yangu hapo juu nimemchagua Jerry Silaa kama mfano. Naangalia wakati akiwa waziri wa ardhi jinsi alivyokuwa anatumia hizo nafasi hadi mihimili inaingiliana katika shughuli zake za kila siku.
Yani waziri anasimama bungeni kwenye mhimili ambapo yeye ni mbunge wa ukonga, akiwakilisha mhimili mmoja wa serikali akiwa minister, huku analaumu mhimili wa tatu wa mahakama kwamba hautendi haki...hauamui vizuri kesi kama yeye mwanasheria na wakili anavyotaka...Yani ni mchanganyiko maalum.

Kuna haja Sasa ya KUBADILI SHERIA zetu.. sio LAZMA waziri atokane na wabunge...ikiwa mihimili hii haitakiwi kuingiliana..vipi waziri atokee kwenye ubunge..Sasa atajibana vipi???

Je ni mnavyoona mihimili hii inajitegemea??

Wasomi karibuni munisahihishe kama nimekosea..

Ngaiwoye nikiwa likizoni sauzafrika
 
Moderator kwanini umebadilisha kichwa cha habari?? Basi bold watu WASOME, huu ni mjadala wa muhimu
 
Hapo ndipo panakuja takwa la katiba mpya .Lakini kwa uroho wa wachache wenye madaraka na maamuzi pamoja na uchawa , katiba mpya inaonekana kwao haina maana . Hawataki hata kuona huruma kwa fedha nyingi zilizotolewa kwa ajili ya kupata katiba mpya na bora.
 
Asilimia kubwa ya wabunge waliopewa uwaziri,hawatendei haki majimbo yao kutokana na kuwa bize na uwaziri
Huu ni ukweli usiopingika. Imefika wakati Sasa wa mabadiliko. Sio LAZMA mtu awe mbunge ndo awe waziri. Huko ni kujichanganya
 
Hapo ndipo panakuja takwa la katiba mpya .Lakini kwa uroho wa wachache wenye madaraka na maamuzi pamoja na uchawa , katiba mpya inaonekana kwao haina maana . Hawataki hata kuona huruma kwa fedha nyingi zilizotolewa kwa ajili ya kupata katiba mpya na bora.
Oooo umenikumbusha Ile fedha ilitumika. Kwahiyo ndo umeondoka buree
 
NI UPUMBAVU KUJIMWAMBAFAYI MTU ANAKUNUNULIA NGUO UNAICHAKAZA ANACHUKUA NGUO YAKE AND THAT WAS CLEAR HESITATING WORD
 
1.Jerry Silaa ni mbunge anatumikia mhimili wa bunge ambao unapaswa kujitegemea.

2.Jerry Silaa ni waziri anatumikia serikali ambayo nayo ni mhimili unaojitegemea

3.Jerry Silaa ni wakili wa mahakama kuu hivyo anatumikia mhimili wa mahakama ambao pia hupaswa kujitegemea.

Wakati nikiwa kijana mdogo kabisa zamani tulisoma somo la siasa katika shule za msingi. Nimeskia siku hizi lilifutwa likaja la uraia..katika somo hilo tulifundishwa Kuna mihimili mitatu ya nchi. Serikali, bunge na mahakama. Tulifundishwa kwamba mihimili hii inapaswa kujitegemea na haiingiliani kabisa.

Katika mada yangu hapo juu nimemchagua Jerry Silaa kama mfano. Naangalia wakati akiwa waziri wa ardhi jinsi alivyokuwa anatumia hizo nafasi hadi mihimili inaingiliana katika shughuli zake za kila siku.
Yani waziri anasimama bungeni kwenye mhimili ambapo yeye ni mbunge wa ukonga, akiwakilisha mhimili mmoja wa serikali akiwa minister, huku analaumu mhimili wa tatu wa mahakama kwamba hautendi haki...hauamui vizuri kesi kama yeye mwanasheria na wakili anavyotaka...Yani ni mchanganyiko maalum.

Kuna haja Sasa ya KUBADILI SHERIA zetu.. sio LAZMA waziri atokane na wabunge...ikiwa mihimili hii haitakiwi kuingiliana..vipi waziri atokee kwenye ubunge..Sasa atajibana vipi???

Je ni mnavyoona mihimili hii inajitegemea??

Wasomi karibuni munisahihishe kama nimekosea..

Ngaiwoye nikiwa likizoni sauzafrika
Waziri asipotokana na wabunge ataingiaje bungeni, kwa ruhusa maalumu kama mgeni kama aingiavyo rais?
 
1.Jerry Silaa ni mbunge anatumikia mhimili wa bunge ambao unapaswa kujitegemea.

2.Jerry Silaa ni waziri anatumikia serikali ambayo nayo ni mhimili unaojitegemea

3.Jerry Silaa ni wakili wa mahakama kuu hivyo anatumikia mhimili wa mahakama ambao pia hupaswa kujitegemea.

Wakati nikiwa kijana mdogo kabisa zamani tulisoma somo la siasa katika shule za msingi. Nimeskia siku hizi lilifutwa likaja la uraia..katika somo hilo tulifundishwa Kuna mihimili mitatu ya nchi. Serikali, bunge na mahakama. Tulifundishwa kwamba mihimili hii inapaswa kujitegemea na haiingiliani kabisa.

Katika mada yangu hapo juu nimemchagua Jerry Silaa kama mfano. Naangalia wakati akiwa waziri wa ardhi jinsi alivyokuwa anatumia hizo nafasi hadi mihimili inaingiliana katika shughuli zake za kila siku.
Yani waziri anasimama bungeni kwenye mhimili ambapo yeye ni mbunge wa ukonga, akiwakilisha mhimili mmoja wa serikali akiwa minister, huku analaumu mhimili wa tatu wa mahakama kwamba hautendi haki...hauamui vizuri kesi kama yeye mwanasheria na wakili anavyotaka...Yani ni mchanganyiko maalum.

Kuna haja Sasa ya KUBADILI SHERIA zetu.. sio LAZMA waziri atokane na wabunge...ikiwa mihimili hii haitakiwi kuingiliana..vipi waziri atokee kwenye ubunge..Sasa atajibana vipi???

Je ni mnavyoona mihimili hii inajitegemea??

Wasomi karibuni munisahihishe kama nimekosea..

Ngaiwoye nikiwa likizoni sauzafrika
Hayo hayatawezekana bila ya kubadilisha Katiba iliyopo kwa Sasa.
 
Upo sahihu, tena wanasema ili uwe Waziri ni lazima uwe Mbunge
 
Kwanza kila mkoa ungekuwa Una mbunge mmoja tu.

Then mawaziri wangepatikana kupitia kufanya usahili na sio kuteuana .

Wabunge 300+ wote wanafanya Kazi gani !! Bungeni .
 
Waziri asipotokana na wabunge ataingiaje bungeni, kwa ruhusa maalumu kama mgeni kama aingiavyo rais?
Duh, Sasa hapo si maamuzi TU ya kubadili Sheria kuwa " mtu akishateuliwa kuwa waziri basi anaruhisiwa kuingia kungeni" kwani wale wanaoteuliwa na rahisi inakuwaje
 
Hii Mada ina logic kubwa sana na umri mrefu, iko wazi kuwa haitakiwi na viongozi walioshiba na kuvimbiwa.
 
Duh, Sasa hapo si maamuzi TU ya kubadili Sheria kuwa " mtu akishateuliwa kuwa waziri basi anaruhisiwa kuingia kungeni" kwani wale wanaoteuliwa na rahisi inakuwaje
Ukiteuliwa na rais kuwa mbunge wewe ni mbunge wa bunge la Tanzania si mbunge wa rais.
Bila kuwa mbunge hauwezi kuchangia mijadala ya ndani ya bunge japo unaweza ukapewa muda kulihutubia bunge. Kumbuka ndani ya bunge kuna Hansard.
 
Back
Top Bottom