Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Umri wako muhimu sana maana ndiyo unaweza kuonyesha kama swali lilijibiwa au halikujibiwa. Katafute majibu ya Mkapa alipoulizwa kuhusu mauaji ya Pemba 2001. Katafute majibu ya Kikwete katika mdahalo kabla ya uchaguzi aliyoulizwa na Rose Mwakitwange, sikwambii majibu ya JPM kwa Pascal Mayalla ndipo utaelewa hayo majibu yana maana gani. Tena hapo nimekutajia kwa uchache.
 
Hapana na Ndiyo> Nakataa kwamba Katiba ni maamuzi ya rais. Nchi siyo familia ya Samia na katiba siyo ya rais wa ikulu. ni katiba ya nchi!
Nakubali kwamba Katiba siyo kazi ya CHADEMA ni wote! Hivyo CHADEMA hawawezi kujidai eti ni ajenda yao. Tatizo la ukabila hilo wanalo, tena sana! Waiosoma na ambao hawajasoma. Kubebana hadi mikoa ya wengine hadi makanisani, hadi CHADEMA.
 
Ondoa Mkapa, hao Kikwete na JPM siyo watu wa mfano mzuri. Kikwete na JPM walikuwa ni moja ya marais wa hovyo kupata kutokea.
 
Afadhari mara 100 ya Samia kuliko yule alietoweka kwenye uso wa Dunia.
Samia Ni mstaraabu sana kulinganisha na yule.
 
Umeona kitu nilichokua nakiona,mihemko kwa maswali asiyopenda.body language.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…