Kuna haja ya serikali kuanzisha wizara ya usafi kuanzia nyumbani Hadi makazini

Kuna haja ya serikali kuanzisha wizara ya usafi kuanzia nyumbani Hadi makazini

Kingsharon92

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
7,843
Reaction score
10,321
Natumai hamjambo nyote
Kama Kuna kitu nakichukia hapa duniani
1:uchafu
2:uchafu
Jamani kiufupi uchafu Ni tabia na si Kama inavyodhaniwa kuwa uchafu Ni kwa wale watu wa Hali ya chini tu
Ila ukweli Ni kuwa uchafu Ni tabia
Haijalishi una maisha gani

Jiulize unafika hospital kuanzia mazingira mpaka wahudumu wachafu Kama majaruba ya mzee king
Naiomba serikali kuanzisha wizara ya usafi
Tuwawajibishe watu wachafu
Jamani acheni uchafu
 
Hizo usafi wataanzia wapi wkt wao wenyewe wameruhusu wamachinga kuchafua mazingira nchi nzima?

Hawana ubavu huo.
 
Mimi pia sipendi uchafu jamanii,na siwezi ishi na mtu mchafu kama umekuja kwangu itabidi ubadilike tuu huwezi ondoka,.siwezi kuvumilia mazingira yanizungukayo tena ya kila siku yawe machafu hapana asee...na uchafu unaambatana na UVIVU..
 
Mimi pia sipendi uchafu jamanii,na siwezi ishi na mtu mchafu kama umekuja kwangu itabidi ubadilike tuu huwezi ondoka,.siwezi kuvumilia mazingira yanizungukayo tena ya kila siku yawe machafu hapana asee...na uchafu unaambatana na UVIVU..
Uchafu Ni Kama Cancer
 
Natumai hamjambo nyote
Kama Kuna kitu nakichukia hapa duniani
1:uchafu
2:uchafu
Jamani kiufupi uchafu Ni tabia na si Kama inavyodhaniwa kuwa uchafu Ni kwa wale watu wa Hali ya chini tu
Ila ukweli Ni kuwa uchafu Ni tabia
Haijalishi una maisha gani

Jiulize unafika hospital kuanzia mazingira mpaka wahudumu wachafu Kama majaruba ya mzee king
Naiomba serikali kuanzisha wizara ya usafi
Tuwawajibishe watu wachafu
Jamani acheni uchafu
Wewe tuu nauchafu wako,mimi najua kutengeneza kwanguvtoka mtoto!
 
Back
Top Bottom