Kuna haja ya Tundu Lissu kuanzisha chama cha siasa kwa masilahi mapana ya Taifa

bado kuna haja ashauriwe vizuri
 
hawa CDM sio wa kuwaamini
 
kwanza kabisa tuambie nchi gani imeyamaliza hayo matatizo
 
Bora akae atulie uko uko chadema ila atengeneze vijana wapya wenye uchungu na wazalendo (cjui atawatoa wap) ambao atawasaidia wapate elimu ya uzalendo na mwishowe awatengenezee njia ya kuanzisha chama Cha siasa .

Ila c rahis kushindana na ccm maana wako tayari hata kuuwa chcht kinachowakwamisha ktk uchaguzi ila n weupee tu wasipotumia mamlaka zao..

Ngoja tuone..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…