Kuna haja ya vyombo husika kuchunguza zile kambi za Simba nje ya nchi

Jidanganye kwanini mabadiliko lazima yapitie Serikalini, yule kocha wa makipa alikua wa timu gani,TFF yenyewe ipo under FIFA ila jiulize kwanini Malinzi alibananishwa
Kwa hio leo hii Serikali inaweza chunguza Azam Fc kwa rushwa ?

Mabadiliko yanapitia serikalin kwa sababu ya sheria ya ushindani (FCC) Au huijui hio ?

TFF ipo chini ya wizara ya michezo, ila Team ni pvt bodies
 
Post yako inanuka uvundo wa chuki, wivu na ujinga.

Maisha yamenifunza ukiona mtu anatuhumu sana wengine kwa jambo fulani, mara nyingi yeye ndiye mtuhumiwa namba moja.

Unasema Simba wanakimbilia kuweka kambi nje halafu wanakuja kuliaibisha taifa, wameaibisha taifa kwa lipi? Kufungwa na Yanga katika ligi ya ndani kuna uhusiano gani na hadhi ya taifa?

Sipendagi kutumia maneno haya kwa mtu yeyote ila wewe ni mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…