Hapo kwenye vitambulisho umenichekesha.Wanajua vzr nini maana ya kula kiapo cha kutunza SIRI za serikali na wanaelewa vzr zaidi consequences za kwenda kinyume na kiapo chao.
So wao waje mtaani wapambane maana walishapiga mpunga mnene huko Serikalini na tusisahau tembo hata akikondaje hawezi kua kama sisimizi.
Kama hawakupiga mpunga vzr then kuna vitambulisho vya Magufuli vitawasaidia kupambana na mtaa.
dodge
Asikudanganye mtu watumishi wengi hawawezi ishi nje ya kuajiriwaWanajua vzr nini maana ya kula kiapo cha kutunza SIRI za serikali na wanaelewa vzr zaidi consequences za kwenda kinyume na kiapo chao.
So wao waje mtaani wapambane maana walishapiga mpunga mnene huko Serikalini na tusisahau tembo hata akikondaje hawezi kua kama sisimizi.
Kama hawakupiga mpunga vzr then kuna vitambulisho vya Magufuli vitawasaidia kupambana na mtaa.
dodge
Wao si ni mabingwa wa kusema sisi tujiajiri,nao acha wajionee shughuli inavyokua.Asikudanganye mtu watumishi wengi hawawezi ishi nje ya kuajiriwa
Tujiajiri kwenye makaratasi labdaWao si ni mabingwa wa kusema sisi tujiajiri,nao acha wajionee shughuli inavyokua.
dodge
Tumbua, teua,tumbua ni dhana njema ya kupanga safu bora ya viongozi.
Hawa wansotumbuliwa wengi wao hawakupenda itokee na wanatoka kwa shingo upande.
Kuna RC mmoja wa mkoa mmoja alimlilia mtumbuaji,tena alikuwa Dr.,kuwa mimi sijui kazi nyingine ya kufanya,ungenihurumia! Kilio hakikuskika.
Kuna wengine wametumbuliwa wakiwa na nafasi nyeti kitaifa nk ,tunao mitaani wanajimwaga hadi tunajua na xyz za nchi. Hawa niikumbushe Serikali yangu, siyo wema kwa kukaa vijiweni.
Aidha kuwe na uchaguzi makini wa nani akae wapi ili kuwe na tija na kupunguza tumbuatumbua.
Dogo acha porojo jikite kwenye madaHoja yako nini?
Hata mimi sijaielewa.Hoja yako nini?
πππkangi lugola msingi kiuno, aende AKUDO impact watampa kazi.
Uko sahihi! Kuvujisha taarifa nyeti za taifa lako ni usaliti unaoadhibiwa vikali.Wanajua vzr nini maana ya kula kiapo cha kutunza SIRI za serikali na wanaelewa vzr zaidi consequences za kwenda kinyume na kiapo chao.
So wao waje mtaani wapambane maana walishapiga mpunga mnene huko Serikalini na tusisahau tembo hata akikondaje hawezi kua kama sisimizi.
Kama hawakupiga mpunga vzr then kuna vitambulisho vya Magufuli vitawasaidia kupambana na mtaa.
dodge
kangi lugola msingi kiuno, aende AKUDO impact watampa kazi.