Kuna hatari ya CCM kutoka kuwa chama cha wananchi na kuwa chama cha familia na koo

Kuna hatari ya CCM kutoka kuwa chama cha wananchi na kuwa chama cha familia na koo

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Sasa si utoe mifano hai?? Vinginevyo ni majungu!
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Hawawezi kukuelewa wanakuona umeishiwa mawazo
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Watajuana wenye koo zao
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Unaongelea koo kama kolomeo au koo kama Family Tree?
 
Hizo ndio familia zilizomuondoa madumu ya pombe na makomeo yake au. Acheni uzushi democrasia ilifuatwa sema tu haifanani na yenu
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Hii ina ukweli mwingi

SmartSelect_20250203_061211_Samsung Internet.jpg
 
Hizo ndio familia zilizomuondoa madumu ya pombe na makomeo yake au. Acheni uzushi democrasia ilifuatwa sema tu haifanani na yenu
Uzuri wa maandishi yako hayana kiulizo so hi ni statement ya mtu anae jua kilicho fanyika. Code rahisi sana hi yaani
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Kama CDM kutoka kwa Mtei kwenda kwa shemeji yake Bob ,kurdish kwa mme wa binti yangu FAM ambaye ilisemekena hadi mauti umkute ama aje kijana wangu nimrithishe
 
Hakika mkuu dalili ya mvua ni mawingu ma wawingu yenyewe tayari yameshatanda.
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Tayari ipo kama genge la Mafia. Sababu kupitia CCM, Tanzania ipo kwa ajili ya familia chache, kadhaa ikiongozwa na Don, underboss,capos, soldiers, associates chini kabisa wapo machawa wanatoa sifa na kudaka makombo, favour za hapana pale.

Mfumo huu upo kwa ajili ya watu wachache kule juu na familia zao, washikaji, ndugu, marafiki. Wengine wote huku chini wanafanya kazi, biashara kukusanya na kulipa kodi kwa ajili na kwa niaba ya familia chache zilizopo juu.

Mafia ni mfumo wa kibabe, usio wa kidemokrasia. Hautegemea wala kuamini katika demokrasia, uhuru, haki au uwazi kupata viongozi wa ndani na taifa. Bali unategemea maneno ya mtu mmoja mungu-mtu, Don, nguvu, vitisho, utekaji, utesaji mauaji, wizi, ujambazi, rushwa, visasi, magereza ili kuendeleza utawala wao. Ingawa hadharani wanahubiri, haki, demokrasia, uhuru, uwazi kiutendaji hawaamini katika ukweli na haki.

Vigezo wanavyotumia kuchagua viongozi ni kama vinavyotumika kwenye genge lolote la Mafia.
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
ULIKUA HUJUI? CCM NI KIKUNDI FLANI CHA MAHARAMIA, CCM ILIKUFA NA HAYATI MWL NYERERE
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom