Kuna hatari ya CCM kutoka kuwa chama cha wananchi na kuwa chama cha familia na koo

Kuna hatari ya CCM kutoka kuwa chama cha wananchi na kuwa chama cha familia na koo

Tatizo wajumbe hawafanyi kazi yao kisawa sawa. Watu wanapomaliza utendaji wanatakiwa kupisha na wasiendelee kukaa meza za maamuzi ya mwisho.
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Wewe umechewewa sasa Mgombea anachaguliwa na mtu mmoja Kikwete bila kura wala nini sio familia ni nini. Kikwete ndiye aseme nani awe makamu !!! yaani unasububiri tu
 
Kwa watu Wazima/Wazee(ujasiri)
"Mambo yameparanyika "
"Hali si swari tena"
Kwa vijana(Uchawa)
"Mtu wa Watu"
Na: CHINUA ACHEBE.
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Hilo lipo wazi yaani utumishi wa umma kwa ngazi ya maamuzi na chama ni koo chache zimejipachika halafu masikini wengine wamebaki kushangilia wajinga akina Lucas Mwashambwa
 
Wananchi na wanachama wa CCM msipokuwa makini ,kuna hatari ya chama kutoka kuwa chama cha mapinduzi na kuwa chama cha familia na koo tu.

Hapa nazungumzia hasa katika ngazi ya juu ya kiutawala ya chama hiki, nafasi ya Urais katika utawala na siasa.

Familia fulani na koo fulani zinaelekea kukikumbata chama.

Najua hamuwezi kunielewa kwa sasa, ila baadae mtaelewa.
Ndiyo vizuri ili wafurushwe kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom