Kwa wakristo hatuamini kuwa kila nafsi itaonya Mauti you usemi ni uongo ni baadhi ndio wataonja mauti kwa mfano kwenye Biblia Henoko na Eliya hawakuonja mauti walipaa wazima wazima lakini pia mwisho wa dunia au kiyama kikifika sio watu wote kitawakuta wakiwa marehemu wengine kitawakuta wazima wa afya!!! Hawajaonja mauti wala kujua kaburi linafananajeFanya ufanyalo lkn kufa utakufa kufa ni lazima kufa ni destur sasa inakiwekaje ktk ivo vitu na wakat lazima kila nafsi ionje maut
Mkono hujikuna pale unapofika. Tupiganie afya/uhai wa wapendwa wetu kadri ya hali zetu za uchumi zitakaporuhusu ila "busara" nayo itumikeBasi kama tunaziacha tupiganie uhai mpaka mwisho, MUNGU ana njia zake za kutunza wasio na hatia maana hata yuo mtoto anaweza pata ugonjwa akihitaji kupiganiwa kama mtu mzima.
Huyo jamaa yangu anaye mdogo wake mdogo aisee...Kwamba hiyo Nyumba isingeuzwa huyo Jamaa yako angekuwa hali afadhali?
Kuna watoto wadogo nadhani watakuwa darasa la tano au la sita wale kama sijakosea kwa maana ni muda kidogo umepitaKwamba hiyo Nyumba isingeuzwa huyo Jamaa yako angekuwa hali afadhali?
Hiyo Nyumba ya familia ingemuingizia vipi kipato kama yeye hana shughuli inayomuingizia kipato?.
Baada ya kuziacha wenyewe wapo au nao waliondoka....busara inayozungumzwa hapa ni hawa wanaobaki wanabaki katika khali gani...hakuna asiyempenda mgonjwa lakini pia wanaobaki.....hizo unazosema zinapita ndio tunazopambania tangu tunapoanza kuvuta pumzi mpaka tunaiacha....na baadae ukitafakari unagundua kama unakimbiza upepo....Mali kitu gani kama kuna uwezekano wa kumuongezea uhai nduguyo umpendaye?
Mali zenyewe tokea enzi hata kina mfalme Suleiman waliziacha, mafarao, Kaisari, mali si kitu kwakweli kwenye upendo na faraja ya tuwapendao.
Everyday is Saturday............................... 😎
Wanaobaki wapo hai na afya njema, watafute mali zao, tutafute hela na mali zetu binafsi zitulinde sisi. Siyo kuwalinda wanaobaki. Hapa utakuta mibaba na mimama mijitu mizima imelemaa na mali za wazazi!Baada ya kuziacha wenyewe wapo au nao waliondoka....busara inayozungumzwa hapa ni hawa wanaobaki wanabaki katika khali gani...hakuna asiyempenda mgonjwa lakini pia wanaobaki.....hizo unazosema zinapita ndio tunazopambania tangu tunapoanza kuvuta pumzi mpaka tunaiacha....na baadae ukitafakari unagundua kama unakimbiza upepo....
Watoto wadogo wa darasa la nne watawezaje kutafuta mali zao mkuu?...Wanaobaki wapo hai na afya njema, watafute mali zao, tutafute hela na mali zetu binafsi zitulinde sisi. Siyo kuwalinda wanaobaki.
Ni mtihani mgumu na nadhani utamaduni wetu hatujaandaliwa kwa ajili ya mazingira kama hayo. Tatizo kubwa sana lilipo ni la wataalam wetu wa afya kutosema ukweli, unakuta mtu ameonekana kansa imesambaa mwili mzima unamdanganya akienda India/South atapona wakati sio kweli.Kuna magonjwa sawa unaweza kutumia busara Kama cancer
Ila ushawahi kujiuliza why wanapambana hvyo kumuweka hai mpendwa wao!!!
Kumpoteza mtu kusikie kwa wenzako tu
Hii ndio point yangu kuu kwamba watoto wadogo wa primary na secondary watabaki vp.Labda kama familia ni changa watoto wanasoma primary!
jamiiforums ina wanachama zaidi ya 500,000 hivyo siwezi kumfurahisha kila mtu.Ebwana mimi hiyo hitimisho yako huwa siipendi na hiyo style ya kurudia heading pia inachosha
msema kweli mpenzi wa MwenyeziMungu
Wengine tumeshapita huko, na shida ilikuwa maDr walikuwa wanadanganya kuwa mzee ana tatizo flani linalotibika lakini kwa pembeni wanawaambia watu baki kwamba huyu mzee hana muda mrefu, kansa imesambaa kila mahali. Kukawa na plan ya kwenda India, wakataka vipimo flani ambavyo ilibidi kwenda Muhimbili baada ya kama wiki nikawa na wasiwasi na hali ya mgonjwa maana alikuwa katika hali ambayo hawezi safiri mwenyewe, kumbana Dr mmoja akawa mkweli akasema huyu mzee ana prostate cancer na imeshakula organs zote na cha kufanya sasa nawapa dawa za kupunguza maumivu mrudisheni nyumbani akapumzike. Hakumaliza week 2 mzee akapumzika.Topic Kama hii inafaa uilete hapa ikiwa wewe mwenyewe ndio mhusika mkuu wa tukio
Poleni sanaWengine tumeshapita huko, na shida ilikuwa maDr walikuwa wanadanganya kuwa mzee ana tatizo flani linalotibika lakini kwa pembeni wanawaambia watu baki kwamba huyu mzee hana muda mrefu, kansa imesambaa kila mahali. Kukawa na plan ya kwenda India, wakataka vipimo flani ambavyo ilibidi kwenda Muhimbili baada ya kama wiki nikawa na wasiwasi na hali ya mgonjwa maana alikuwa katika hali ambayo hawezi safiri mwenyewe, kumbana Dr mmoja akawa mkweli akasema huyu mzee ana prostate cancer na imeshakula organs zote na cha kufanya sasa nawapa dawa za kupunguza maumivu mrudisheni nyumbani akapumzike. Hakumaliza week 2 mzee akapumzika.
Ni kweli KakaMkubwa ila hiyo wala haivunji undugu... tuko pamoja sana!jamiiforums ina wanachama zaidi ya 500,000 hivyo siwezi kumfurahisha kila mtu.
Msema kweli mpenzi wa Mwenyezi Mungu