Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,660
- 3,501
Hapa kuna wadau wametoa hpja mbili na mimi nijikite humohumo
A. Mmoja kasema tatizo siyo busara wala nini tatizo ni madaktari. Hilo naafikiana nalo kuwa ni madaktari au wahusika wowote wa mambo hayo mfano viongozi wa dini, kijamii na kimila.
Kulitakiwa kujengwe hali/mazingira ya kukubaliana na kifo kwamba mtu akitokea kuonekana na dalili zote basi tufikie ukomo wa kumhangaikia na siyo kumhangaikia mpaka kujiumiza nyinyi wazima msioumwa
Ukitaka kujua sisi hatujajengwa vizuri kwenye maswala hayo angalia 'Wengine' wakifiwa; wanalia kistaarabu tu ile kupunguza machungu ila M'bongo akifiwa sasa; utasikia uuuuuuwii! Hotateeeee weeeee hoootraaataraatraaaaa homameeeee weee! Yaani atataja mizimu yote na kama haitoshi atararua nguo zake bado chini atajigaragaza na mapepo atapandisha hapo bado kamasi plus homa plus...
Au angalia mfano M'bongo akiwa anaumwa halafu cheki hao wanaokuja kumcheki/ kumjulia hali sasa; badala ya kumfariji na kumpa huduma fulanifulani mgonjwa wao ni kujisuwaniza na kujisunja tu yaani mpaka tena mgonjwa ndo anawaonea huruma wao eti! (Samahani nimechanganyia na kiluga)
Hiyo inasababisha watu wanapukutika kiuchumi sana katika kumnusuru mgonjwa na maradhi fulani na hata mtu akifa bado inaonekana ameonewa sana kufa (regardless miaka 70 aliyonayo) hivyo bado wataendelea kupoteza mali kwa 'wataalamu' kutafuta aliye nyuma ya kifo hicho (mchawi) ni nani
Hoja hapo ni watu (hasa madokta) waseme tu ukweli kama mgonjwa amegundulika kuwa na homa ambayo ni 50 kwa 50 uhai na si kuwa-uplift watu halafu baadae ionekane kufa ni uonevu
B. Jambo la pili kuna mdau amesapoti na kusema eti ni sahihi tu kuuza/ kupukutisha mali zote ilimradi kumtibu au kuhangaikia mgonjwa, tena hakuishia hapo akasema tusiige uzungu bali tujikite kwenye Uafrika wetu kwamba hawa wanaobaki basi kuna wajomba, maanti, mababu, na kadhalika eti watawahudumia!!! Shame!
Mjomba kama unaishi kwa kutegemea hivyo kwanza pole sana halafu pili jiandae kuja kutemewa mate na wategemezi wako hapohapo kwenye kaburi utakalozikwa
Ni kweli kuna mtu kum'beba ndugu yake au ndugu wa babu baba na hata ndugu wa mama yake lakini siyo kihivyo aisee! Utawaachia watu jAnga
A. Mmoja kasema tatizo siyo busara wala nini tatizo ni madaktari. Hilo naafikiana nalo kuwa ni madaktari au wahusika wowote wa mambo hayo mfano viongozi wa dini, kijamii na kimila.
Kulitakiwa kujengwe hali/mazingira ya kukubaliana na kifo kwamba mtu akitokea kuonekana na dalili zote basi tufikie ukomo wa kumhangaikia na siyo kumhangaikia mpaka kujiumiza nyinyi wazima msioumwa
Ukitaka kujua sisi hatujajengwa vizuri kwenye maswala hayo angalia 'Wengine' wakifiwa; wanalia kistaarabu tu ile kupunguza machungu ila M'bongo akifiwa sasa; utasikia uuuuuuwii! Hotateeeee weeeee hoootraaataraatraaaaa homameeeee weee! Yaani atataja mizimu yote na kama haitoshi atararua nguo zake bado chini atajigaragaza na mapepo atapandisha hapo bado kamasi plus homa plus...
Au angalia mfano M'bongo akiwa anaumwa halafu cheki hao wanaokuja kumcheki/ kumjulia hali sasa; badala ya kumfariji na kumpa huduma fulanifulani mgonjwa wao ni kujisuwaniza na kujisunja tu yaani mpaka tena mgonjwa ndo anawaonea huruma wao eti! (Samahani nimechanganyia na kiluga)
Hiyo inasababisha watu wanapukutika kiuchumi sana katika kumnusuru mgonjwa na maradhi fulani na hata mtu akifa bado inaonekana ameonewa sana kufa (regardless miaka 70 aliyonayo) hivyo bado wataendelea kupoteza mali kwa 'wataalamu' kutafuta aliye nyuma ya kifo hicho (mchawi) ni nani
Hoja hapo ni watu (hasa madokta) waseme tu ukweli kama mgonjwa amegundulika kuwa na homa ambayo ni 50 kwa 50 uhai na si kuwa-uplift watu halafu baadae ionekane kufa ni uonevu
B. Jambo la pili kuna mdau amesapoti na kusema eti ni sahihi tu kuuza/ kupukutisha mali zote ilimradi kumtibu au kuhangaikia mgonjwa, tena hakuishia hapo akasema tusiige uzungu bali tujikite kwenye Uafrika wetu kwamba hawa wanaobaki basi kuna wajomba, maanti, mababu, na kadhalika eti watawahudumia!!! Shame!
Mjomba kama unaishi kwa kutegemea hivyo kwanza pole sana halafu pili jiandae kuja kutemewa mate na wategemezi wako hapohapo kwenye kaburi utakalozikwa
Ni kweli kuna mtu kum'beba ndugu yake au ndugu wa babu baba na hata ndugu wa mama yake lakini siyo kihivyo aisee! Utawaachia watu jAnga