Kubwa kuliko watu wanajionesha kuwa ni watu wa dini huwa wanakuwa na roho mbaya ajabu.Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....
Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
Kisu kimegonga kwenye MFUPAsasa shida iko wapi jamani😂😂😂watu tusijisnap gospel
Acha kabisa acha kabisa acha kabisaKubwa kuliko watu wanajionesha kuwa ni watu wa dini huwa wanakuwa na roho mbaya ajabu.
Na wanafki vizuri sana.Kubwa kuliko watu wanajionesha kuwa ni watu wa dini huwa wanakuwa na roho mbaya ajabu.
Ni wivu tu juu yao unakuaumbua.Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....
Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
Ni kweli kabisa. Nakubaliana na wewe 100%Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....
Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.