Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukamlamba Mkuu?Hehe
Kuna huyo mmoja ni maombi kwa sana sana sana
Siku moja kaja geto kasema nmlambe kyuma😂😂
Kubwa kuliko watu wanajionesha kuwa ni watu wa dini huwa wanakuwa na roho mbaya ajabu.
Niliowa jamii ya hawa wavaa majuba,baadhi yao ni wachawi,malaya na washirikina mno,Sio kwa kuwa sijawataja wavaa majuba ndo mjione mko salama. Nimejaribu tu kuzungumzia hawa wa imani yangu, huko kwenu ndo kumeoza kabisa.
Mungu ana upendoSababu vitabu vya dini vimeonesha roho mbaya za Mungu. Hivyo na wao wameiga
HaswaaNa wanafki vizuri sana.
Mungu ana upendo
Daah!! Mkuu mimi sio mtalaam sana kwenye maandiko labda tumwite Kiranga ashushe nondo.Kama Mungu ana upendo je Kwa nini Mungu aiwaamuru Waisraeli kuangamiza kundi lote la watu, wanawake na watoto?
Biblia imeandika Katika 1 Samweli 15: 2-3, Mungu aliamuru Sauli na Waisraeli, "Bwana MUNGU asema hivi: Nitawaadhibu Waamaleki kwa sababu waliwapiga walipokuwa wanatoka Misri. Sasa nenda, ukawashambulie na kuangamiza vitu vyotewalivyo navyo. Usiwaacha hai ila uwauwe wote; wanaume kwa wanawake, watot wachanga na wanyonyao, kondoo, ngamia na punda. " Mungu aliamuru mambo kama hayo wakati Waisraeli walipokuwa wakiingia nchi iliyoahidiwa (Kumbukumbu la Torati 2:34, 3: 6, 20: 16-18).
Huyu jamaa kama Liza kila kitu.Usaliti ni hulka, tabia n.k kama mtu ana tabia/hulka hiyo hata aweje hawezi acha ni kitu kipo kwenye damu yake.
Hehe
Kuna huyo mmoja ni maombi kwa sana sana sana
Siku moja kaja geto kasema nmlambe kyuma[emoji23][emoji23]