Shida tunapambazwa na ukubwa huu wa kibongo tunadhani una apply worldwide..Tems tayari ameondoka mkuu,,usifanye maksihara kuwa featured na Drake.Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
"Yakayuku yakayuku, shuku shuku yakayuku". [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Zuchu nae akipewa Wizkid ataimba nini? Yalaa...Yalaa au?
Hivi umeshaisikia Damages ya Tems kweli wewe, unaijua Try me ya Tems kweli wewe mkuu, umeshalipa sikio lako ngoma ya Fountains Ya drake Ft Tems kweli,?Leo Nimekutana na battle ya Zuchu na Tems cz wote wamewekwa kwenye category moja za kuania tuzo
Ila Ushabiki tuweke pembeni Zuchu kwenye kuimba aha Mashallah anajua yupo vizur kweny kila angle
Ila kwa Tems cz ni Mnaigeria na kabebwa sana na wizkid ila hana maajabu yeyote
Terms ukubwa wake unatokana na ukubwa wa wimbo alioshirikishwa na Wizkid tu
Hivi umeshaisikia Damages ya Tems kweli wewe, unaijua Try me ya Tems kweli wewe mkuu, umeshalipa sikio lako ngoma ya Fountains Ya drake Ft Tems kweli,?Right ukitoa essence huyu ni msanii wa kawaida kabisa
Waeleze hawa chawa wa WCB maan wanawehukwa San lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi umeshaisikia Damages ya Tems kweli wewe, unaijua Try me ya Tems kweli wewe mkuu, umeshalipa sikio lako ngoma ya Fountains Ya drake Ft Tems kweli,?
Drake mwenyewe kakalishwa kwenye ile ngoma.
Huyo unayemzungumzia muimba kaswida za kibongo fleva anaweza kumatch kweli ata Robo tu kwa tems serious,
Umeipata kwanza ep ya Tems "If Orange was a place" na kuipa sikio lako vizuri au unabuga buga tu na makelele ya Sukari na yalaa.
Mziki ni Content, siyo makelele pekee.
Boss wake alipewa shavu kidogo tu na alicia Keys kashindwa kuonyesha chochote kaishia kuguna guna tu,
Unafikiri mziki ni beat na kupiga piga makelele tu, mziki una Vitu vingi.
Good music unaishi.
Cc Zero IQ
Lebo ambayo imewatoa Lavalava na Queen Darleen.Lebo ambayo imemtoa Zuchu
"Thick voice" kama ya Tems inavutia sana katika muziki.
Ni mfanano wa wasanii kama Rihanna, Original,coffee, Zhavia, Shakira, Katty Dahlia, Yendry, n.k.
Hakika binafsi namuona Tems mkubwa zaidi ya Zuchu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah nmecheka sanaaaHao wana nyota ya mjusi kafiri
Nadhani niko sahihi sasa. Maana nilijiuliza hiyu Tems ndio ninaye mfahamu. Tems ana sauti fulani unique sana, kama mjamaica hivi, kama analalamika, kama hataki. Jinsi anavyoweza ichezea kwenye midundo, ni nadra sana. Labda tuseme Tems ni Lauryn Hill ambaye Harap. Zuchu, yes ni mwanamuziki mzuri, lakini hana kitu cha kustua unapomsikiliza.Hivi umeshaisikia Damages ya Tems kweli wewe, unaijua Try me ya Tems kweli wewe mkuu, umeshalipa sikio lako ngoma ya Fountains Ya drake Ft Tems kweli,?
Drake mwenyewe kakalishwa kwenye ile ngoma.
Huyo unayemzungumzia muimba kaswida za kibongo fleva anaweza kumatch kweli ata Robo tu kwa tems serious,
Umeipata kwanza ep ya Tems "If Orange was a place" na kuipa sikio lako vizuri au unabuga buga tu na makelele ya Sukari na yalaa.
Mziki ni Content, siyo makelele pekee.
Boss wake alipewa shavu kidogo tu na alicia Keys kashindwa kuonyesha chochote kaishia kuguna guna tu,
Unafikiri mziki ni beat na kupiga piga makelele tu, mziki una Vitu vingi.
Good music unaishi.
Cc Zero IQ
Wewe unaona Lava lava,Queen darleen na Zuchu nani mkali?Lebo ambayo imewatoa Lavalava na Queen Darleen.
Wote wakali.Wewe unaona Lava lava,Queen darleen na Zuchu nani mkali?
Nani anawazidi wenzake?Wote wakali.
Wakali wote.Nani anawazidi wenzake?
Binafsi Tems nimemuelewa zaidi kwenye Essence, huko kwingine sijaguswa.
Haimaanishi kuwa Zuchu is clear and vise versa
Bora kushabikia mambo ya nje kuliko ya ndani kwako siyo?.Wabongo tunapenda kulinganisha sometimes mpaka kufikia baadhi washikadau na media kuchonganisha na kuchagua upande.
Ila mkae mkijua Wanaijeria wapo mbali sana,hata huyo Zuchu juzi alikiri kuwa Inspired na Tems kwa mafanikio aliyo yapata kupitia Collabo alishirikishwa na Wizkid.