Tetesi: Kuna Homa za Kubana Kifua, Kichwa na Mafua mtaani zinapiga Watu kimya kimya

Leo watoto wangu wameamka na mafua,

Lkn pia yule muheshimiwa wa jana inasemekana ni changamoto za upumuaji.

Inabidi kufanya utafiti mara moja.
 
Enyi mliochanja tuliwaambia in 2-5 years lazima mfe na hizo chanjo za mabeberu
 
Hiki kitu kimenikuta wiki iliyopita yani kukimbia kidogo kifua kinauma hadi moyo unaenda kasi, unavoamka kichwa kinauma ila nilipona
 
Hii ni kweli hata mie napitia shida hiyo
 
Zakuambiwa unachanganya na za kwako kama ule usemi pendwa wa mzee wetu wa msoga, ni kweli kabisa naambiwa huko bongo kuna watu wanahisi ni kale kajamaa kalikomuondoa jiwe kwa ubishi na ushamba wake , chukueni tahadhari wana wa nchi
 
Nendeni mkapate chanjo ya Corona muache kuishi kwa mashaka.
 
Zakuambiwa unachanganya na za kwako kama ule usemi pendwa wa mzee wetu wa msoga, ni kweli kabisa naambiwa huko bongo kuna watu wanahisi ni kale kajamaa kalikomuondoa jiwe kwa ubishi na ushamba wake , chukueni tahadhari wana wa nchi
Kwa hiyo kamemuondoa BCM
 
Chawa wa Mama halafu hujachanja? Ajabu sana
Ndiyo sisi wengine ni chawa wajanja. Unataka nife, ule ulikuwa ujinga sana na Rais mwenyewe wala hakuchanja ni ujanja ujanja wa kutaka hela za mabeberu. Ukitaka kuona ulikuwa ujinga na upumbavu jiulize kwanini King wa Uingereza wakati anaapishwa kwanini hapakuwa na barakoa???? Yaani King Charles ana busiana na mwanae William, yaani wale ma askofu wa lile kanisa walikunywa mvinyo kwenye chombo kimoja. Yaani katika ujinga na upambavu ambao serikali ilifanya na kudharaurika duniani kote ni chanjo tena it was a retarded mind decision kabisa. Rais Dkt Samia yeye mwenyewe anajua ila alifanya kwa sababu ya mabeberu tu
 
Aisee basi tupo wengi, nimepigwa na mafua na homa kali zaidi ya wiki 3 Hadi Leo hii bado kichwa kinauma Tu ingawa mafua yamepona
Nimetumia kila Aina ya dawa za mafua lkn bado ilishindikana
Yaani ni kwelii!! Sisi familia nzima tumepigwa, mafua makali, homa Kali, kikohozii na mwili kuchookaaa!! Tunapona ila miili iko hovyoo
 
Siyo kweli !! Usibishane na sayansi wewe ni mbumbumbu tu. Hata huo mfano wa Uingereza hauna uhusiano na mada inayojadiliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…