Kuna Hoteli yeyote ya nyota tano maeneo ya Mbagala?

Kuna Hoteli yeyote ya nyota tano maeneo ya Mbagala?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wasau hamjamboni nyote?

Je, maeneo ya Mbagala Jijini Dar es Salaam kuna hotel yeyote yenye hadhi ya nyota nne au tano?

Natarajia mgeni kutokea ighaibuni anayependelea kufikia huko.

Karibuni
 
Wasau hamjamboni nyote?

Je, maeneo ya Mbagala Jijini Dar es Salaam kuna hotel yeyote yenye hadhi ya nyota nne au tano?

Natarajia mgeni kutokea ighaibuni anayependelea kufikia huko.

Karibuni
Kama anapendelea kufikia huko, kwanini asifikie pale ambapo huwa anafikia siku zote?
 
Back
Top Bottom