Kuna idadi kubwa ya sup UDSM

ahaaha aisee nina wasiwasi na uraia wako uko blok C nilikua na marafiki zangu huko tulikuwa tunatoka hata saa 4 tukichoka kusoma tufata tost hahahah aisee mkuu akujua wewe

Niliishi block C na mimi ila fst year
 
Siku moja moja ila nilikua muumini wa mama kifusi siku nikiwa nazo najichanganya kwa mpemba

hahahah mkuuu acha kabisa aisee hapo hata ukiwa huna ela pa kula haukosi na kushiba unashiba
hapo kona hapo kuna mkaka mweusi tiii anapikaga miogo kona kama unaenda victoria sijui bado yupogo
 
hahaha utakuwa una uraia pacha....mis thoz life blok G

Block G kwa kuzimia moto na na disk ila niliwahi lala adi asubuhi sababu ndani joto lilizidi na nilikua naishi na watu wa mbeya wao kuoga mara moja kwa wiki
 
Block G kwa kuzimia moto na na disk ila niliwahi lala adi asubuhi sababu ndani joto lilizidi na nilikua naishi na watu wa mbeya wao kuoga mara moja kwa wiki

hahahahhahaha aisee na kale kautamaduni ketu kakubebana looh
 
hivi mgomo udsm utafanyika tena lini?
nausikiaga tu nina hamu ya kuushuhudia kabla sijamaliza mwakani
revo squre imekua historia tu
nategemea nauli ya shato mwaka huu itakua 500 ya coin

tufungue chuo mie nikamalizie ma bum yangu ma4 yaliyobakia
 
wali wa mpemba mmh sijui anaweka yeast maana unakula leo unasikia njaa baada ya siku 2
nimemis chapati za kwa mama muarabu

Mwenyewe nahisi hivo, wali gani unashiba balaa,

Mama Mwarabu naskia bado snakimbiza, mi nilkua naenda ile jioni nachukua Biscuit na juice, then napitia pale kwa kina mama wanauza mikate nachkua mmoja wa bukuuuu huyooo
 
hahahah mkuuu acha kabisa aisee hapo hata ukiwa huna ela pa kula haukosi na kushiba unashiba
hapo kona hapo kuna mkaka mweusi tiii anapikaga miogo kona kama unaenda victoria sijui bado yupogo

Yule jamaa nilimpa AKA ya muogo mchungu nilikua sikosi kwake mana nilikua naongezewa hata mi3
 
Block G kwa kuzimia moto na na disk ila niliwahi lala adi asubuhi sababu ndani joto lilizidi na nilikua naishi na watu wa mbeya wao kuoga mara moja kwa wiki

We jamaa kama nakujua, Mabibo ulikaa kidogo ukahamia Kibangu, then Msewe or kwa Golani
 
Kuna Dr. Bruce, kuna Prof Muya, Kuna Man mmoja anaitwa Sabato na Jericko, na Damian, Prof Nyirabu, na Mukandala mwenyewe, wote hawa walifanya maisha yangu yawe ya mashaka na kushindwa kuwa na mahusiano mazuri na mameneja wa Mbalamwezi, Jangwani, Maisha Club, San Siro na kwingineko...
 
Mwenyewe nahisi hivo, wali gani unashiba balaa,

Mama Mwarabu naskia bado snakimbiza, mi nilkua naenda ile jioni nachukua Biscuit na juice, then napitia pale kwa kina mama wanauza mikate nachkua mmoja wa bukuuuu huyooo

aisee mikate ile ya buku sema ni fresh na chai nini ssuiku umeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…